Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu hakuna kocha pale. Muda utasema labda abadilike.
Mkuu natofautiana na wewe juu ya uwezo wa kocha wetu, Unai Emery ni kocha mzuri kuacha rekodi zake za makombe aliyochukua pia ni mtu sahihi kwa philosophy ya timu yetu.
Tatizo amekikuta kikosi kibovu sana na hakuna fungu la kutosha kwenye usajili.
 
Sisi arsenal fan tunataka kujua alipo ndugu yetu AROON naona tumejikausha sana atutaki hata kujua nini kinaendelea kwake... Jamani Arsenal fani wenzang fanyen namna tjue ni wap alipo jamaa yetu.. dully Jr mtafute jamaa
 
Mkuu natofautiana na wewe juu ya uwezo wa kocha wetu, Unai Emery ni kocha mzuri kuacha rekodi zake za makombe aliyochukua pia ni mtu sahihi kwa philosophy ya timu yetu.
Tatizo amekikuta kikosi kibovu sana na hakuna fungu la kutosha kwenye usajili.
Unai ni kocha mzuri ila ana kikosi kibovu, tofauti na Chelsea wana kikosi kizuri ila kocha m'bovu..
 
Daaah top 4 ndio tusahau kwakweli. Hatuna timu ya kuifunga Leicester au Burnley.
Yan mkuu mpaka sasa sisi arsenal tuna uhakika wa point mbili tu ..Leicester anatukalisha, Burnley tuna draw naye na Europa sion kama tutapita mbele ya Valencia. Unai pale hatuna kitu ni bora babu yetu arudi tu ..

Bring back Wenger...
 
Mkuu ngoja rusubir muda maana game 3 ndzo zitaamua nani awe top 4
Mkuu kwenye izo game tatu tynauhakika wa point mbili tu ..maana Leicester anatukalisha, izo mbili tunadraw. Europa kule Valencia hatatuacha salama mkuu..namuona unai akiishia nafasi ya tano au sita ..Bado tuna mda wa kutoka kujenga timu yetu arsenal hahahaha ..ivyo uefa sio saizi yetu ..Unai atafeli vibaya sana msimu huu bora babu yetu arudi.

Bringback Wenger..
 
Yan mkuu mpaka sasa sisi arsenal tuna uhakika wa point mbili tu ..Leicester anatukalisha, Burnley tuna draw naye na Europa sion kama tutapita mbele ya Valencia. Unai pale hatuna kitu ni bora babu yetu arudi tu ..

Bring back Wenger...
Mkuu vp mbona unatusemea, japo tupo vibaya ila hiyo Chelsea yako ni uozo mtupu kwa kuanzia hiyo jpili Man U anakukalisha. Kama kawaida yako utapotea huku jukwaani.
 
jamani bado mechi 3 tu kila mtu atajua alichovuna lakini kelele zenu za sasa hivi hazina maana yoyote,kumbuka achekaye mwisho ndio mjanja sasa nyie chekeni mnapojikuta mei mpo mikono mitupu na mikono mitupu hailambwi ndipo hapo mtakapoiona JF chungu hahahahahahahahahaha
 
sasa hivi ni muda wa kila mtu kupambana na hali yake ili ajue anamaliza vipi huu msimu......maana nashangaa sana kuona lundo la washabiki wanaoshinda humu kupiga zogo ni chelsea na man ,,,,,hawa wa liverpool mimi sitowaongelea sana najua kuwa wapi watakwamia ingawa wanafanya vizuri kwasasa ,.....lakini chelsea na man kuicheka arsenal ni kichekesho kikubwa maana hakuna hata mwenye uhakika wa kumaliza katika nafasi 4 za juu ifikapo mei
 
Nyumbu vs chelwowo

Hapa sare au chelwowo anabondwa

Hivo chelwowo endeleeni kupiga kelele....

Nafas ya 5 ni chelwowo ,after 38 games
 
TEAM NEWS

Team news: Aubameyang,Ramsey, Suarez

Arsenal Media 26 Apr 2019



Here's our latest team news update ahead of Sunday’s match at Leicester City:


Pierre-Emerick Aubameyang
Sinus. Pierre had a small procedure on a sinus which went well and he is being assessed ahead of Sunday’s match at Leicester.

Aaron Ramsey
Left hamstring. Continues to receive treatment and further assessment. Will miss Sunday’s match at Leicester.

Denis Suarez
Groin. Continues to receive treatment and further assessment. Will miss Sunday’s match at Leicester.

Hector Bellerin
Left knee. Continuing with gym based rehabilitation and strengthening post-surgery.

Rob Holding
Left knee. Started on-field rehabilitation.

Danny Welbeck
Right ankle. Continuing on-field rehabilitation, conditioning and ball work.
 
According to MailOnline, we're eying a move for Man United defender Eric Bailly

The Sun report that we’re set to miss out on Ajax left back Nicolas Tagliafico
 
Back
Top Bottom