Enlightenment
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 1,321
- 3,307
Mkuu natofautiana na wewe juu ya uwezo wa kocha wetu, Unai Emery ni kocha mzuri kuacha rekodi zake za makombe aliyochukua pia ni mtu sahihi kwa philosophy ya timu yetu.Mkuu hakuna kocha pale. Muda utasema labda abadilike.
Tatizo amekikuta kikosi kibovu sana na hakuna fungu la kutosha kwenye usajili.