Labda unywe mabaoWameisadia leo maan tunaichukua iyo nafasi ..mim naku wait final Europa nikukunywe nyingi sana ..
Labda unywe mabaoWameisadia leo maan tunaichukua iyo nafasi ..mim naku wait final Europa nikukunywe nyingi sana ..
OT ndo sehem rahis zaid kuchukua point mkuu..wale wanakufa tatu moja..Hujamalizana na manyumbu unaropoka, unadhan atakuacha salama OT, hahaaaaa hiyo siku utajipiga ban ya mwezi maana utapelekwa nafas ya 6
Umesahau juzi ulikaa kwa masaa nikaja mwenye nafas yangu nikakutoa,subiri sasa hadi mechi ya mwisho utajikuta upo nafas yako ya 5Wameisadia leo maan tunaichukua iyo nafasi ..mim naku wait final Europa nikukunywe nyingi sana ..
Hata kwa liver ulisema hivo hivo, matokeo yake ukajipiga ban ya wiki, kwako ulisawazisha dk za jioni, OT wanakugonga ,wanakusekwa nafas ya 6, subiri utaniambiaOT ndo sehem rahis zaid kuchukua point mkuu..wale wanakufa tatu moja..
Mabangi ligi kaiwezea.Kwa iyo unai anauza point tatu ili abebe Europa hahaha ..ni sawa na wewe kutumia ela ya ada kubetia..
Uyo mrangi Unai ligi imemshindaaaaa
Huwezi kuamini eti Cheltako alikua miongoni mwa wagombea kombe la ligi.Kwa iyo unai anauza point tatu ili abebe Europa hahaha ..ni sawa na wewe kutumia ela ya ada kubetia..
Uyo mrangi Unai ligi imemshindaaaaa
Sio natamani ni WCP tayari ..Hazard kabeba Europa, Uefa, EPL, FA, Belgium imefanya vizur WC kwa sababu yake ..Geroud kabeba World Cup, FA, na msim huu anabeba EUROPA, Kante ndo kabisa haitaji maelezo...Higuan kila mtu anajua alichofanya ...apo AssAnal nan kabeba makombe ya maana kaa hayo?Unatamani wawe world class players eeh? Hizo ni chapati tu na mkipigwa kaunta hua nacheka Luiz anavohangaika
Sisi kotekote tunakichafua mzee baba..endeleeni kutamanishaa..Sisi si tunawatamanisha mtumie nguvu kupafom katika ligi ili kule Europa muende mmelegea!!
Hii ni mikakati bwana mdogo hauwezi kuelewa kama mpira umeanza kushabikia Mourinho alivokuja Chelsea.
Mbona Chelsea ipo namba 5 na ndio utamaliza hiyo nafasi au hujuiSio natamani ni WCP tayari ..Hazard kabeba Europa, Uefa, EPL, FA, Belgium imefanya vizur WC kwa sababu yake ..Geroud kabeba World Cup, FA, na msim huu anabeba EUROPA, Kante ndo kabisa haitaji maelezo...Higuan kila mtu anajua alichofanya ...apo AssAnal nan kabeba makombe ya maana kaa hayo?
WCP wana maana gani sasa kama uko nafasi ya 5?Sio natamani ni WCP tayari ..Hazard kabeba Europa, Uefa, EPL, FA, Belgium imefanya vizur WC kwa sababu yake ..Geroud kabeba World Cup, FA, na msim huu anabeba EUROPA, Kante ndo kabisa haitaji maelezo...Higuan kila mtu anajua alichofanya ...apo AssAnal nan kabeba makombe ya maana kaa hayo?
Sasa huku nafas ya 5 ni yako ,subiri uone,Europa usihangaike kabisaSisi kotekote tunakichafua mzee baba..endeleeni kutamanishaa..
Liverpool wako vizuri iyo kila mtu anajua ..ndo maana walikunyoosha tano ...hahaha Firmino alinilishia watu majani, mimi nmepigwa kwa makosa madogo madogo tu ...sasa hao manure nawala za kutosha...Hata kwa liver ulisema hivo hivo, matokeo yake ukajipiga ban ya wiki, kwako ulisawazisha dk za jioni, OT wanakugonga ,wanakusekwa nafas ya 6, subiri utaniambia
Leo napanda hadi ya tatu nadhani unajua ilo ..mimi sina cha kupoteza kwa sasa ..ni fulu mkoko ndani kipigo cha mbwa koko kwa yeyote atakaye katiza mbele yetu..Mbona Chelsea ipo namba 5 na ndio utamaliza hiyo nafasi au hujui
Wewe ukifungwa ni kwa makosa madogo, wenzio Wabovu, na zile 4-0 za bornamouthLiverpool wako vizuri iyo kila mtu anajua ..ndo maana walikunyoosha tano ...hahaha Firmino alinilishia watu majani, mimi nmepigwa kwa makosa madogo madogo tu ...sasa hao manure nawala za kutosha...
Unajidanganya maana mpira hujuiLeo napanda hadi ya tatu nadhani unajua ilo ..mimi sina cha kupoteza kwa sasa ..ni fulu mkoko ndani kipigo cha mbwa koko kwa yeyote atakaye katiza mbele yetu..
Iyo inatokeaga mkuu ..upepo wa ligi umetuendea vibaya ..ila Europa sijapoteza gemu hata moja, mpaka fainali sipotezi..Huwezi kuamini eti Cheltako alikua miongoni mwa wagombea kombe la ligi.
Leo hii amekazana kuishupalia top 4 hahaha.
Jiandaeni kwa disappointments.
Kwan hiyo nafas ya 3 wiki iliyopita siulikaa hapo, au umesahau tena, ni swala la muda tu, nitakuja kukumbushaLeo napanda hadi ya tatu nadhani unajua ilo ..mimi sina cha kupoteza kwa sasa ..ni fulu mkoko ndani kipigo cha mbwa koko kwa yeyote atakaye katiza mbele yetu..
Hamna timu yenye kikosi chembamba kama Liva.Naona pipa na mfuniko mko kwenye mabishano makali sana.
Utapigwa hadi uchakae, kumbuka unacheza na timu za andora, ungepewa Rene's au Napoli ungetoboa weweIyo inatokeaga mkuu ..upepo wa ligi umetuendea vibaya ..ila Europa sijapoteza gemu hata moja, mpaka fainali sipotezi..