Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe una kipa pazia la 70 ,upo nafasi ya kwanza? Mimi mwenye WA paun 10 nipo top 4 na Nina uhakika WA top 4 na europa
Una uhakika upi wakati unashushwa rasmi nafasi yako pendwa ya tano..

Mim nakamata ya tatu pale ndo sitoki tena, wewe jipange na Europa msimu ujao..
 
Una uhakika upi wakati unashushwa rasmi nafasi yako pendwa ya tano..

Mim nakamata ya tatu pale ndo sitoki tena, wewe jipange na Europa msimu ujao..
Umesahau ulikaa hapo kwa muda ,tukakuondoa? Unapocheza na man u ,mtagawana nafas zenu ya 5 na 6
 
Halafu tukumbuke kitu.

Unai alisema Europa uhakika ila ligi bado kwanza.

Wewe Cheltako huko Europa utakoma na top 4 hugusi. Kumbavu
 
Sasa wewe keleng'ende mmenunua waimba taarab wa pauni 45m na kuendelea hadi muda huu mko wapi?
At least tuna world classic players Higuan, Hazard, Kante, Geroud, ..wachezaji ambao wanapata Namba kweny fest XI yeyote ulaya ..apo arsenal mchezaj pekee anayepata namba Chelsea ni Ramsey na/au Auba..
 
Una uhakika upi wakati unashushwa rasmi nafasi yako pendwa ya tano..

Mim nakamata ya tatu pale ndo sitoki tena, wewe jipange na Europa msimu ujao..
Chelsea ukae nafas ya 3 ,kwa timu IPI, ushukuru Jana emery kupanga ovyo kikosi, kwanza Burney mwenyewe ukaze
 
At least tuna world classic players Higuan, Hazard, Kante, Geroud, ..wachezaji ambao wanapata Namba kweny fest XI yeyote ulaya ..apo arsenal mchezaj pekee anayepata namba Chelsea ni Ramsey na/au Auba..
Hao world class wameisaidia cheltako kuwa nafasi ya ngapi hadi sasa
 
Wolves wataishia kuwapiga mbuzi mbuzi tu kama Chelsea na Man U
Hahahaha sasa kwa Crystal Palace watoto walaini tu wa malkia ..tena kwako wa kufanya mbaya ..ao mbweha weny njaa kali ci utakufa nyingi?? ..

Ile fixture yenu nyepesi imekuja kuwa nguma balaa...
 
Halafu tukumbuke kitu.

Unai alisema Europa uhakika ila ligi bado kwanza.

Wewe Cheltako huko Europa utakoma na top 4 hugusi. Kumbavu
Yah unai alisema hivo ,Europa uhakika, sasa sisi tunataka na ligi, yeye kwa uzoefu wake alisema Europa uhakika,maana akiangalia eti mpinzani cheltako
 
Hahahaha sasa kwa Crystal Palace watoto walaini tu wa malkia ..tena kwako wa kufanya mbaya ..ao mbweha weny njaa kali ci utakufa nyingi?? ..

Ile fixture yenu nyepesi imekuja kuwa nguma balaa...
Hujamalizana na manyumbu unaropoka, unadhan atakuacha salama OT, hahaaaaa hiyo siku utajipiga ban ya mwezi maana utapelekwa nafas ya 6
 
Unai alisema Europa uhakika ,akiangalia mpinzani eti cheltako ,sisi tumemwambia panga first eleven hadi kwenye ligi huku usilete useng e ,
 
Halafu tukumbuke kitu.

Unai alisema Europa uhakika ila ligi bado kwanza.

Wewe Cheltako huko Europa utakoma na top 4 hugusi. Kumbavu
Kwa iyo unai anauza point tatu ili abebe Europa hahaha ..ni sawa na wewe kutumia ela ya ada kubetia..

Uyo mrangi Unai ligi imemshindaaaaa
 
At least tuna world classic players Higuan, Hazard, Kante, Geroud, ..wachezaji ambao wanapata Namba kweny fest XI yeyote ulaya ..apo arsenal mchezaj pekee anayepata namba Chelsea ni Ramsey na/au Auba..
Unatamani wawe world class players eeh? Hizo ni chapati tu na mkipigwa kaunta hua nacheka Luiz anavohangaika
 
Kwa iyo unai anauza point tatu ili abebe Europa hahaha ..ni sawa na wewe kutumia ela ya ada kubetia..

Uyo mrangi Unai ligi imemshindaaaaa
Ila zari ball ligi kaiweza, au sio ndio maana anahaha kumaliza top 4, subiri may uone mnamaliza nafas ya 5 , si tupo hapa
 
Hahahaha sasa kwa Crystal Palace watoto walaini tu wa malkia ..tena kwako wa kufanya mbaya ..ao mbweha weny njaa kali ci utakufa nyingi?? ..

Ile fixture yenu nyepesi imekuja kuwa nguma balaa...
Sisi si tunawatamanisha mtumie nguvu kupafom katika ligi ili kule Europa muende mmelegea!!

Hii ni mikakati bwana mdogo hauwezi kuelewa kama mpira umeanza kushabikia Mourinho alivokuja Chelsea.
 
Back
Top Bottom