Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa iyo assanal isipotimiaga ndo inapondwa kipigo cha mbwa koko..

Ok jumatano mtatimia ila za uso mtachezea tu...
Acha kubwabwaja, wakati cheltako mnalitimu libovu, umesahau ulipopigwa 2-0 umejificha wiki nzima,Leo unapiga kelele utadhan hata nafas ya 4 utaingia
 
Hiv kepa yule pazia anayefungwa magoli ya ajabu unamfananisha na Leno? Acha ushabiki maandazi wewe cheltako
Kepa ana clean sheet 13, ana saves 75.

Niletee statistics za Leno
IMG_20190421_170025.jpeg
 
Nafas ya 6 ni manyumbu, nafas ya 4 na 3 ni kati ya arsenal au Tottenham,namba 5 ni cheltako,weka kumbukumbu vzr
Hahaha iyo nafasi ya tatu mpka Wenger anaondoka kaishia kuishika kama Mara mbili/tatu hivi. Ndo aje uyo mrangi unai aishike hahaha . kwa assanal hihi ya kuokoteza ..ni Mara kumi aishike manure lakin sio Wewe m'bangaizaji..
 
Hahaha iyo nafasi ya tatu mpka Wenger anaondoka kaishia kuishika kama Mara mbili/tatu hivi. Ndo aje uyo mrangi unai aishike hahaha . kwa assanal hihi ya kuokoteza ..ni Mara kumi aishike manure lakin sio Wewe m'bangaizaji..
Wewe cheltako na litimu lako bovu ,utamaliza nafas ya 5 na Europa tukikukuta fainali unachezea maana una litimu bovu kabisa
 
Kwani google hupajui mpaka nikuletee? Yaani unapayuka kabisa kepa ni kipa mzuri ? Huyu ambaye Slavia walikuwa wanaachia mashuti yanaingia?
Si ndo kama jana walivyoachia Crystal Palace!! au umesahau mkuu..

Watoto wa malkia wale..
 
Nawauliza kwa cheltako hii MNA uhakika hata wa top4? Au mnabwabwaja tu
Nakujibu kimpira sikujibu kishabiki.

Kulingana na ligi ilivyo kwa sasa kwa kuangalia mechi nilizobakiza pia na upana wa kikosi changu uhakika wa top 50/50 kwa sababu itategemea pia na matokeo ya timu nyingine.
 
Si ndo kama jana walivyoachia Crystal Palace!! au umesahau mkuu..

Watoto wa malkia wale..
Huwez kufananisha anavyofungwa kepa pazia na Leno ,labda unaleta ushabiki, lakini muda ni wakati nzuri utawaumbua, hata jojino mlimsifia sana ,sasa hivi mnamponda
 
Akujibu kimpira sikujibu kishabiki.

Kulingana na ligi ilivyo kwa sasa kwa kuangalia mechi nilizobakiza pia na upana wa kikosi changu uhakika wa top 50/50 kwa sababu itategemea pia na matokeo ya timu nyingine.
Sasa wewe umejibu kimpira sio kishabiki kama huyo mwenzako,
 
Hawezi kuleta huyu.
Kwanini usilete save parentage zote hapa? Unatakiwa uelewe kepa bado ni matured bado ana safari ndefu, ndio maana Chelsea mnaruhusu magoli ya mbali ,kwakuwa bado hajawa stopper, Leno anaangushwa na beki kama mustafi , katika mechi 7 alizocheza sokratis na koscinenly kapata cleansheet 6.

Hapa naongea kimpira ,kepa mtakuja kumuandama kama mnavyofanya kwa jojino
 
Duniani timu ni moja tu inaitwa Arsenal au ARSENAL zilizobaki ni vikundi vya taarab. Nashauri Cheltako wamsajili Isha Mashauzi kama kipa wao naona Kepa amezidi kua shati
 
Kwanini usilete save parentage zote hapa? Unatakiwa uelewe kepa bado ni matured bado ana safari ndefu, ndio maana Chelsea mnaruhusu magoli ya mbali ,kwakuwa bado hajawa stopper, Leno anaangushwa na beki kama mustafi , katika mechi 7 alizocheza sokratis na koscinenly kapata cleansheet 6.

Hapa naongea kimpira ,kepa mtakuja kumuandama kama mnavyofanya kwa jojino
kwa iyo beki zenu zikikatika Leno Naye anapoteana siyo? Huoni De gea kuna kipndi beki za manure zilipotea ila yeye akaibeba timu ..the same kwa kepa pia, kweli nyie hamna kipa ..mna lipazia tu pale ..

Kipa ataonekana bora pale beki zinapo poteana..
 
Kwanini usilete save parentage zote hapa? Unatakiwa uelewe kepa bado ni matured bado ana safari ndefu, ndio maana Chelsea mnaruhusu magoli ya mbali ,kwakuwa bado hajawa stopper, Leno anaangushwa na beki kama mustafi , katika mechi 7 alizocheza sokratis na koscinenly kapata cleansheet 6.

Hapa naongea kimpira ,kepa mtakuja kumuandama kama mnavyofanya kwa jojino
Jogihno atabaki kuwa kiungo bora ulaya..
 
kwa iyo beki zenu zikikatika Leno Naye anapoteana siyo? Huoni De gea kuna kipndi beki za manure zilipotea ila yeye akaibeba timu ..the same kwa kepa pia, kweli nyie hamna kipa ..mna lipazia tu pale ..

Kipa ataonekana bora pale beki zinapo poteana..
Lini kepa aliwabeba Chelsea? Leno beki zikipotea anaibeba sana timu labda hufatilii ndio maana unabwabwaja
Huyo degea mwenyewe sio kila mech anaibeba timu,
 
Duniani timu ni moja tu inaitwa Arsenal au ARSENAL zilizobaki ni vikundi vya taarab. Nashauri Cheltako wamsajili Isha Mashauzi kama kipa wao naona Kepa amezidi kua shati
Nadhani emery sasa kajifunza, kikosi cha kwanza anacho ,anataka kufanya rotation duh
 
Back
Top Bottom