Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mechi za away hatuko vizuri. Nyumbani ni ngome alafu jamaa anapanga kikosi mbofu mbofu. Ilitakiwa mechi hizi za nyumbani tufunge hesabu ugenini tukabahatishe!
Mpaka sasa uhakika ni Liverpool Manchester city na Tottenham hawa lazima waingie top 4 ila sisi mhhh kaka ni Mungu tusubiri aamue
 
Yaani ile mtu unajipanga uanze kuwatania Manuyd kina Mustafi wanatufunga midomo, dah!
Hata spurs sasa ni club iko juu yetu kiuwezo.
 
Chambers anatolewa mkopo wanamwacha mtu ambaye hana msaada ndani ya muda wake wote pale Arsenal, hajiamini akikutana na watu wenye manjonjo km Zaha basi ye anachanganyikiwa utadhani dem kaona sharobaro
 
Unajua bora mfungwe kwa ubovu wa kikosi

Sio kwa sababu za kipuuzi

Wachezaji Wanapambana , Baadhi wanaharibu mechi ,

Inaumiza sana
Kweli mkuu. Kama sisi anavyotufanyia Mr. Mafegi yaani Basi tu
 
*Nimetambua kwanini Timu ikishinda sifa zinaenda kwa wachezaji na ikiharibu mzigo anaubeba kocha.*

Nilikuwa najiuliza' hivi huwa inakuwaje mtu anajiuwa!!? Leo nimeona Unai anajiuwa wazi mara baada ya kuona kikosi.

Nilidhani ni majaribio tu wala sio kikosi rasmi.

Duh' yaani kuwazodoa kote watu wa Man u' kumbe Unai anatuchora tu.
 
Unajua bora mfungwe kwa ubovu wa kikosi

Sio kwa sababu za kipuuzi

Wachezaji Wanapambana , Baadhi wanaharibu mechi ,

Inaumiza sana
Ndio raha ya kugombania nafasi na Arsenane, kwa kuwa bado mna Wolves naamini nafasi ya nne bado iko wazi sanaaaa. Nakumbuka ule mwaka mlikuwa mnagombania ubingwa na Leicester, hamuwezi kushindana mtafail tu
 
*Nimetambua kwanini Timu ikishinda sifa zinaenda kwa wachezaji na ikiharibu mzigo anaubeba kocha.*

Nilikuwa najiuliza' hivi huwa inakuwaje mtu anajiuwa!!? Leo nimeona Unai anajiuwa wazi mara baada ya kuona kikosi.

Nilidhani ni majaribio tu wala sio kikosi rasmi.

Duh' yaani kuwazodoa kote watu wa Man u' kumbe Unai anatuchora tu.
Mtapata tabu sanaaaaaaaaaaa
 
Chambers anatolewa mkopo wanamwacha mtu ambaye hana msaada ndani ya muda wake wote pale Arsenal, hajiamini akikutana na watu wenye manjonjo km Zaha basi ye anachanganyikiwa utadhani dem kaona sharobaro
Hiki ni kituko, chambers mkopo, Mustafi ndani.
afadhali kumsajili tena Pascal Cygan hata kama kastaafu kuliko Mustafi.
 
Ndio raha ya kugombania nafasi na Arsenane, kwa kuwa bado mna Wolves naamini nafasi ya nne bado iko wazi sanaaaa. Nakumbuka ule mwaka mlikuwa mnagombania ubingwa na Leicester, hamuwezi kushindana mtafail tu
Wewe Leo kocha kazingua kupanga kikosi halafu tuna majeruhi ,

Usijifariji shauri yako
 
*Nimetambua kwanini Timu ikishinda sifa zinaenda kwa wachezaji na ikiharibu mzigo anaubeba kocha.*

Nilikuwa najiuliza' hivi huwa inakuwaje mtu anajiuwa!!? Leo nimeona Unai anajiuwa wazi mara baada ya kuona kikosi.

Nilidhani ni majaribio tu wala sio kikosi rasmi.

Duh' yaani kuwazodoa kote watu wa Man u' kumbe Unai anatuchora tu.
Wape heshima na waliokutandika ndugu😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom