Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Lineup today
Yohana 3:16
Yohana 3:16
Mungu yu pamoja nasi lazma tukwee nafasi kadhaa leo COYG
Laca ataingia kipind cha pili, lazima tufanye rotation maana Europa emery anaitaka kwa nguvu zoteLeo tena amepangwa mkhitaryan. Kwa ukweli siku hizi nimekua simpendi. Ni bora tu namba yake apangwe lacazette
Game ya everton ilikua hivi hivi. Unapanga mchezaji ataingia kipindi cha pili halafu mara kocienly ambae hukutegemea atoke anaumia. Kwa iyo ile substition inapungua maana inabidi ufanye usiyoyatarajiaLaca ataingia kipind cha pili, lazima tufanye rotation maana Europa emery anaitaka kwa nguvu zote
Yohana 3:16
na iwe hivyoMungu yu pamoja nasi lazma tukwee nafasi kadhaa leo COYG
Game ya Everton shida ilikuwa midfield mkuu,Game ya everton ilikua hivi hivi. Unapanga mchezaji ataingia kipindi cha pili halafu mara kocienly ambae hukutegemea atoke anaumia. Kwa iyo ile substition inapungua maana inabidi ufanye usiyoyatarajia
Tunachana