Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Chelshit huyu huyu tiamajitiamaji
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Chelshit huyu huyu tiamajitiamaji
Manyumbu hao
mkuu nenda hospital ukapime maralia......Then uwe unabakiza huu upuuzi huku usituletee kule. Nadhani tushajua mpumbavu ni nani.? Shubamiit!!
Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu usiwe na hofu ,cha muhimu nasisitiza tuombee key players hasa eneo la midfield wawe fitiNaihofia Wolverhampton, nahofia mechi za ugenini ni nyingi, rekodi yetu away ni mbaya sana na tuna michezo mingi iliyobaki ya ugenini!!!
Rekodi yetu away ni mbaya mnoooo!!Mkuu usiwe na hofu ,cha muhimu nasisitiza tuombee key players hasa eneo la midfield wawe fiti
Akiwepo xhaka Ramsey toreira
Mbele mick auba laca ozil
Hawa wakiwa wazima ,hakuna game tutafungwa had ligi inaisha
Game na Everton ,xhaka na Ramsey wakiwa fit au mmoja wapo akiwa fit acheze na Matteo ushindi lazima
Baada ya hapo hao wolves nilivyowaona kuna aina ya mpira wanaucheza , hasa wa counter ,hivo kati tunahitaji solid midfield ,ningependa aanze toreira na xhaka au xhaka na Ramsey ,katika mfumo wa 3-4-3
Tutawagonga vzr tu,
Kwahiyo cha msingi tuombee wachezaji wetu muhimu wasipate injury ,
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Nakubaliana na wewe , lakin msimu huu imeimarika kulinganisha na msimu uliopitaRekodi yetu away ni mbaya mnoooo!!
Nakupinga kaka ,labda kama unamaanisha msimu uliopita ,ila kwa msimu huu ugenini tumeimarikaRekodi yetu away ni mbaya mnoooo!!
Hujammalizia mwambia anafaa olesendeka mpumbavu weAnafaa olesendeka
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
kipa mechi mbili anapigwa goli kumi...........................................aiseeeeeeeeh hapana nasema hivi HAPANAGoalkeepers with the most clean sheets in top 5 leagues.
Hapa naongea na yule anayekuja kwenye uzi wetu anamponda Kepa kwa kumlinganisha na Leno ukimwambia leta takwimu anakimbia. Sasa naomba mwisho uwe leo otherwise uje na facts siyo pampalila zako. Aroon ukae kimya usifananishe kepa na uchafu mwingine.View attachment 1061430
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo alopigwa goli chache yupo kwenye hiyo list ya top 5?kipa mechi mbili anapigwa goli kumi...........................................aiseeeeeeeeh hapana nasema hivi HAPANA
Wewe kenge ubora wakipa haupimwi kwa cleansheet ,