Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Everton itamwalika arsenal kwenye uwanja wa Goodison park siku ya junapili.

Arsenal inahitaji point 3 ili kujihakikishia nafasi ya 3 itakayompa nafasi ya kucheza UEFA champions league kwa msimu ujao

Habari nzuri kutoka kwa madaktari wa timu ni kuwa laurent koscieny Aaron Ramsey na xhaka huenda wakacheza mechi ya jumapili .

moto uliotumika kwa man u ,bournemouth na newcastle ndio huo huo utatumika kwa everton,

COYG
FB_IMG_1554549637847.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Emery says we can buy players in the summer who will have a similar impact to what VVD had at Liverpool. I like the sound of this.



Amesema kumpata beki kama VVD mwenye kuleta impact inawezekana bila kutumia 75!View attachment 1064023

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba

Ataondoka Arsenal hajampata mtu wa aina ya VVD.
 
Kwanini unasema hivo, kwan watu wa recruirment kaz yao ni nini,?sio lazima ampate kama vvd, ila anaayeweza kumudu majukumu ,

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba

Issue kubwa ni budget, Arsenal nayoijua haiwezi kutoa zaidi ya 45 kwa beki, means itabidi atafutwe ambaye mnaanza kumtengeneza tena.

Ready made ni gharama ambayo Arsenal hawako tayari kuingia.
 
Issue kubwa ni budget, Arsenal nayoijua haiwezi kutoa zaidi ya 45 kwa beki, means itabidi atafutwe ambaye mnaanza kumtengeneza tena.

Ready made ni gharama ambayo Arsenal hawako tayari kuingia.
Tunatumia wasaka vipaji ,angalau tupate watu wanaoridhisha kwa bei nzuri, sio kushikishana

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Tunatumia wasaka vipaji ,angalau tupate watu wanaoridhisha kwa bei nzuri, sio kushikishana

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba

Changamoto itakayokuja ni kujikuta mnatakiwa kumwandaa kwa zaidi ya msimu mmoja, akija kuwa fit timu zenye hela zinakuja kumtafuta.
 
Changamoto itakayokuja ni kujikuta mnatakiwa kumwandaa kwa zaidi ya msimu mmoja, akija kuwa fit timu zenye hela zinakuja kumtafuta.
Mkuu arsenal sio wauzaji wa ovyo ovyo, labda mchezaji alete kiburi au kugoma ,ndio atauzwa

Kwasasa tunatafuta MTU wa kuziba pengo la msaka vipaji,

Leo emery ndio kazungumza tutaingia kwenye soko la usajiri lakin tutatafuta watu makini ,

Mfano summer tulitumia only £71m kuwapata Leno ,toreira,sokratis na Matteo

Ambapo kwa hela hiyo hiyo Chelsea wanashikishwa kipa tu,

Msimu huu iwapo tunarud UCL,bas bajeti itapanda £100-150m , hapo ukiwa na wataalamu wa mpira unapata wachezaji wazuri tu,



'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Mfano summer tulitumia only £71m kuwapata Leno ,toreira,sokratis na Matteo

Ambapo kwa hela hiyo hiyo Chelsea wanashikishwa kipa tu

Kwa wachezaji hao mlio wanunua ni yupi aliyepanda thamani?

Means amefit kwenye timu na hakuna wasiwasi wa namba yake?
 
Kwa wachezaji hao mlio wanunua ni yupi aliyepanda thamani?

Means amefit kwenye timu na hakuna wasiwasi wa namba yake?
Watatu , Leno , toreira na sokratis,

Matteo amekuwa plan B na ameonesha development nzuri, kwa bei tulizowanunua, kwenye transfer market wamepanda thaman zaidi

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Watatu , Leno , toreira na sokratis,

Matteo amekuwa plan B na ameonesha development nzuri, kwa bei tulizowanunua, kwenye transfer market wamepanda thaman zaidi

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba

Okay, siwezi kukubishia sana lakini mimi nawaona bado ni wale wale tu.

Torreira alipewa hype kubwa mwanzoni ila baadae akapoa, Sokratis muda wake unaisha.

Kidogo Leno namwona kama ana ceiling kubwa kulinganisha na hao kina Torreira.

Jitahidini kumtafutia beki wa kumpa cover.
 
Okay, siwezi kukubishia sana lakini mimi nawaona bado ni wale wale tu.

Torreira alipewa hype kubwa mwanzoni ila baadae akapoa, Sokratis muda wake unaisha.

Kidogo Leno namwona kama ana ceiling kubwa kulinganisha na hao kina Torreira.

Jitahidini kumtafutia beki wa kumpa cover.
Toreira hajapoa labda kama humfatilii, ni hapa katikati amekosa mech kadhaa tu,

Sokratis ni beki wa kati, hivo swala la umri sio tatizo, maana kwasasa ndio nguzo ya mabek wa kati hapo arsenal ,

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Xhaka amerejea kwenye mazoez
IMG-20190406-WA0031.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Mazoezi ya mwisho kuelekea mechi ya kesho dhidi ya Everton
IMG-20190406-WA0040.jpeg
IMG-20190406-WA0039.jpeg
IMG-20190406-WA0037.jpeg
IMG-20190406-WA0034.jpeg
IMG-20190406-WA0032.jpeg
IMG-20190406-WA0033.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Emery on Mesut Ozil…

He’s working very well, playing very well, he’s helping us. I’m very happy with him. I think the team has a good atmosphere, good spirit with each player helping us with their qualities and good behaviour. That’s the spirit I want, they are doing that, and Mesut is like the others [in that regard].
IMG-20190406-WA0032.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
| This piece was from @charles_watts, explaining that Arsenal had already approached Lille before for Nicolas Pépé. It’s also worth recalling that he was Sven Mislintat’s last recommendation to Raul Sanllehi before leaving in February! https://t.co/3v7xKNVw55
IMG_20190406_201831.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Unai Emery on the summer transfer window:

“We can also achieve [buy] some players who are in other teams, who can come here and give us this performance - like Van Dijk with Liverpool."

I know just the man... https://t.co/85jDLGF6hx
FB_IMG_1554549184079.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Unai Emery Azungumzia mikakati yake Arsenal katika dirisha kubwa la Usajili:
"Tunajitahidi kununua baadhi ya wachezaji ambao watatuletea vitu vipya , ambao watakuja hapa nakutupa uwezo mzuri kama alionao Van dijk wa Liverpool "
.
( www.arsenal.com)

View attachment 1064033

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Nyie mnanunuaga wachezaji ambao hawana ushindani wowote wanakuja epl wanacheza gemu kumi wanapotea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu arsenal sio wauzaji wa ovyo ovyo, labda mchezaji alete kiburi au kugoma ,ndio atauzwa

Kwasasa tunatafuta MTU wa kuziba pengo la msaka vipaji,

Leo emery ndio kazungumza tutaingia kwenye soko la usajiri lakin tutatafuta watu makini ,

Mfano summer tulitumia only £71m kuwapata Leno ,toreira,sokratis na Matteo

Ambapo kwa hela hiyo hiyo Chelsea wanashikishwa kipa tu,

Msimu huu iwapo tunarud UCL,bas bajeti itapanda £100-150m , hapo ukiwa na wataalamu wa mpira unapata wachezaji wazuri tu,



'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Unanunua vichezaji vinakuletea kombe moja baada ya misimu minne..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mnanunuaga wachezaji ambao hawana ushindani wowote wanakuja epl wanacheza gemu kumi wanapotea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo inatokea cheltako, siunakumbuka mlivyotupigia kelele kuhusu jojino, kikowapi sasa hivi,

Kepa alizabuliwaga, na yeye mlitupigia kelele ,sasa hivi ikipigwa tu imoooo,

Sisi wachezaji wote tulionunua wameingia kwenye mfumo na wanafanya vzr,

Tatizo cheltako usajiri unafanywa na mwanamke
IMG_20190130_193200.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Back
Top Bottom