Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama ww umeweza kutegemea matokeo yako utanizuia vp na mimi nisitegemee matokeo yangu ?

Manyau ni vibonde tu au umejisahaulisha game ya kwanza OT kilitaka kuwatokea nini .This time ni emirates ngoja ukakipate pate

YNWA



Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo unazungumzia under mourinho !
Now no OG atakupigisha kwata kama alivyokupigisha swali!
Kwani mulipofungwa 3-1 ulikuwa uwanja gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ww umeweza kutegemea matokeo yako utanizuia vp na mimi nisitegemee matokeo yangu ?

Manyau ni vibonde tu au umejisahaulisha game ya kwanza OT kilitaka kuwatokea nini .This time ni emirates ngoja ukakipate pate

YNWA



Sent using Jamii Forums mobile app
HV mulipofungwa 3-1 ulikuwa uwanja gani!? Na kama ulikuwa uwanja huo wa Emirates kwanini now wasiweze kwa Mara nyingine?
Ni kitu gani kinakupa nguvu ya kusema now unashinda kama hizo gemu za swali za OT na Emirates ulishindwa!
Usijipe moyo subiri dakika tisini
Ushabiki kama wako hua unapelekea kukimbia Uzi ikitokea umefungwa!
Kuwa mkomavu kijana acha kuongea vitu kama unapiga ramli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HV mulipofungwa 3-1 ulikuwa uwanja gani!? Na kama ulikuwa uwanja huo wa Emirates kwanini now wasiweze kwa Mara nyingine?
Ni kitu gani kinakupa nguvu ya kusema now unashinda kama hizo gemu za swali za OT na Emirates ulishindwa!
Usijipe moyo subiri dakika tisini
Ushabiki kama wako hua unapelekea kukimbia Uzi ikitokea umefungwa!
Kuwa mkomavu kijana acha kuongea vitu kama unapiga ramli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata picha huoni me si shabik wa Arsenal me ni shabik wa LFC

Hujui hata maana ya YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manyau yameingia mtaa wa 4 kwa muda yanasumbua huku mtaani fanyeni weekend myatupe mtaa wa 6 aise

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usiwe na hofu,

Namchara wikiend ijayo

Halafu yeye ana mech na mancity na Chelsea

Hapo lazima arud mtaa wa 6 kwa lazima ,nafas ya 5 ataichukua chelsea
Shughuli imeisha

Nakuna uwezekano tot akatolewa nafas ya 3 maana anaenda etihad na anfield ambapo anaenda kuacha point

Niswala LA muda tu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UNAI EMERY ASIVYOTABILIKA NA KUWAPA MAKOCHA WAPINZANI SHIDA

Moja ya lawama kubwa alizopewa Wenger kipindi chote akiwa Arsenal kucheza style moja haijalishi anacheza na Fulham au Barcelona. Nimeiangalia Arsenal kwa miaka 22 lkn Arsenal ya 14 iliyopita ungebet kwamba ktk kila mechi kubwa lazima wafungwe goli la counter attack. Ungebeti pia kwamba magoli 10 watakayofungwa matano yatakuwa set pieces.

Kipindi cha Wenger ulikuwa huna haja ya kuuliza line up au sub gani itaingia. Ilifahamika kama baba yetu uliye mbinguni kwa wakristo. Nakumbuka rafiki yangu moja marehemu Jumbe alinishangaa kila mechi nikipatia lineup na sub mpaka dakika ya sub.

Unai mfumo na tactics hata wachezaji wenyewe wanajua siku moja kabla ya mechi. Lineup wachezaji wanaijua masaa mawili kabla ya mechi. Yeye anaamini kwamba mpira ni vita kama nyingine na kwamba jinsi mpizani wako anavyojua mbinu yako mapema ndivyo inavyokuwa rahisi kwake kukudhibiti.

Mfano mdogo alivyo wa surprise Tottenham...

Pochettino Unai atakuja na washambuliaji wawili Auba na Laca, kwa hiyo yeye akaja na back four. Unai akaja na mshambuliiaji moja naye hakwenda kusimama kama namba 9 bali kama force 9 na Iwobi, Miki na Ramsey wakipishana mbele yake.

Pochettino alipongundua ameingia chaka akafanya tactical switch na kucheza na wing backs. Unai akafanya counter sub ya Ozil na Auba na kuharibu kabisa na kama si makosa binafsi ya Mustafi, Auba na refa Arsenal wangeondoka na point 3.

Ni msimu wa kwanza na mabadliko makubwa anaendelea kuyafanya. Bado ninaamini top 4 inawezekana. Nadhani itakuwa zawadi kubwa kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UNAI EMERY ASIVYOTABILIKA NA KUWAPA MAKOCHA WAPINZANI SHIDA

Pochettino alipongundua ameingia chaka akafanya tactical switch na kucheza na wing backs. Unai akafanya counter sub ya Ozil na Auba na kuharibu kabisa na kama si makosa binafsi ya Mustafi, Auba na refa Arsenal wangeondoka na point 3.

Sent using Jamii Forums mobile app
Let us hope for the best, Mechi itachezeshwa na Jonathan Moss, akisaidiwa na Simon Bennett na Marc Perry, Fouth official ni Martin Atkinson
 
Here’s the latest update from our medical team ahead of Thursday’s Europa League last-16 first-leg tie in Rennes.

Alex Lacazette
Suspended following red card against BATE Borisov (a).

Hector Bellerin
Left knee. Recovering after surgery.

Rob Holding
Left knee. Recovering after surgery.

Danny Welbeck
Right ankle. Recovering after surgery.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Man Utd kampiga PSG na kwenye vibanda umiza nyie ndio mligeuka kuwa washabiki wa PSG

Man kuifunga PSG ni psychological boost kwa United kuelekea kwenye mechi zijazo ikiwemo yenu

United ameonesha pamoja na kuwa na majeruhi wengi bado anaweza kutoa kichapo

Unfortunately for u, the next stop is at Emirates, your home we normally embarrass you

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom