squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,190
Aubameyang kazingua sana na penati ya kitoto.
Aubameyang kazingua sana na penati ya kitoto.

ni emiratessssKituo konachofuata ni Paris.Kituo kinachofuatani emiratessss
.
Mjiandae tena kwa fimbo za ole
alisikika mlevi mmoja kutoka mbagala, kiburugwa
Na VAR ingekuwepo , uamuzi wa penalty ungetenguliwaPenalty ya Aubameyang ingekuwa retaken kama VAR ingekuwepo. Kabla ya Aubameyang hajapiga penalty, wachezaji kama 3 wa Tottenham walingia kwenye penalty area.
Yani Mtu unaona kabisa mechi crucial Kama hiyo tena mda Kama ule na penati yenyewe umetunukiwa tu unapiga penati yakiunafunzi namna ile yani ni upuuzi sanaAubameyang kazingua sana na penati ya kitoto.
Ni mpiga penati wa hovyo sana,nakumbuka wakati ule arsenal inawapiga penati majili,kina Denis,Henry,Nwanko,viela. Lakini penati alikuwa anapiga mcameroon LaurenYani Mtu unaona kabisa mechi crucial Kama hiyo tena mda Kama ule na penati yenyewe umetunukiwa tu unapiga penati yakiunafunzi namna ile yani ni upuuzi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Almanusura wapasuke hawa. Wana presha wanaenda kukosa top four.Naombeni matokeo ya Arsenyeto na spurs
Natanguliza shukrani
Teh.. Stress ni kitu kibaya sana. Nenda ukapewe ushauri kabla hali haijawa mbayaHata mkiwa nazo tatu mkononi, Chelsea nafas ya 5 au 6 ndio ataishia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Lauren Etame Mayer alikuwa hakosi penatiNi mpiga penati wa hovyo sana,nakumbuka wakati ule arsenal inawapiga penati majili,kina Denis,Henry,Nwanko,viela. Lakini penati alikuwa anapiga mcameroon Lauren
Sent using Jamii Forums mobile app
Pambana na hali yako, ngoja leo unyooshwe na Tofees mbio za ubingwa ziote mbawaManyau yameingia mtaa wa 4 kwa muda yanasumbua huku mtaani fanyeni weekend myatupe mtaa wa 6 aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan ww upo kwenye mbio za ubingwa ???Pambana na hali yako, ngoja leo unyooshwe na Tofees mbio za ubingwa ziote mbawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo wewe unategemea arsenal washinde!Manyau yameingia mtaa wa 4 kwa muda yanasumbua huku mtaani fanyeni weekend myatupe mtaa wa 6 aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ww umeweza kutegemea matokeo yako utanizuia vp na mimi nisitegemee matokeo yangu ?Kwahiyo wewe unategemea arsenal washinde!
Utaumwa kiharusi katika umri mdogo!
Sent using Jamii Forums mobile app