ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,528
- 7,923
Sio kugawana tu point..na RED CARD JUU..na baadae Man U anampiga SOTON unashushwa nafasi ya 5Tulikua tunaondoka na ushindi mzuri tu na kuweka point 3 kibindoni ila ndo yametokea hayo
Tumegawana point 1-1



Sent using Jamii Forums mobile app
