Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Penalty ya Aubameyang ingekuwa retaken kama VAR ingekuwepo. Kabla ya Aubameyang hajapiga penalty, wachezaji kama 3 wa Tottenham walingia kwenye penalty area.
 
Sio kugawana tu point..na RED CARD JUU..na baadae Man U anampiga SOTON unashushwa nafasi ya 5

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuja emirates,

Halafu Siku unayocheza na man city, unashushwa

Siku unacheza na Chelsea , ndio Siku unashushwa nafas ya 6 jumla.

Sis droo sio mbaya Leo ,maana Tatar tot tushamsogeza kugombea top 4,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Penalty ya Aubameyang ingekuwa retaken kama VAR ingekuwepo. Kabla ya Aubameyang hajapiga penalty, wachezaji kama 3 wa Tottenham walingia kwenye penalty area.
Na ya spurs lundo la wachezaji walikuwa off side.
 
Habari ndio hii...
Screenshot_2019-03-02-19-55-51.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom