Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mbele ya Higuain kuna timu ita survive?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kule Italy Juventus,Napoli,Roma,Milan zote zimesharest in piece?
baada ya kuchukua icardi mnachukua mizigo ambayo imekosa namba kwa Mario mandzukic pale juve mpaka wakaliloan kule Milan na bado halina maajabu hahahahahahahahahaha

Sasa hivi mtaanza kuimba #BRING_BACK_OUR_GIROUD

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbele ya Higuain kuna timu ita survive?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani yule ni Higuan au Punguani?


Hata kwa Joginyoko mulianza hivihivi kuwa Mbele ya Joginyoko hakuna timu itakayobaki salama


Lakini mulipocheza na Spurs alichofanywa na yule Mvimba macho wa Kikorea aka Sonaldo (Son) hamutokisahau 😀😀

Huyo Kitambi Manager wenu hata msimu mmoja hamalizi mutamtoa kwa mkopo na kumuona Giroud ni Messi mbele Yake.. 😀😀
 
NA PERISIC TUNAMTAKA AISEEEH
#AFC want loan with £35m option to buy. 29yo open to #Inter exit.

"Fits plan of versatile midfielder e.g. Suarez (still possible) / Nkunku + winger. Unclear if injuries mean defender wanted but Sokratis not bad."



Sent using Jamii Forums mobile app
 
No research no right to talk! Game ya kwanza ya ligi asea-anal kabanjuliwa hapo hapo emirates, kwaio wewe sio wa kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
David Ornstein

@bbcsport_david

Arsenal have made an approach to sign Inter Milan winger Ivan Perisic. #AFC want loan with £35m option to buy. 29yo open to #Inter exit. Fits plan of versatile midfielder e.g. Suarez (still possible) / Nkunku + winger. Unclear if injuries mean defender wanted but Sokratis not bad

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu hao Chelsea wana tabia mbaya sana wamewafanyizia Monaco kwa fabrigas aisee juzi ile mechi na watoto wamepigwa mkono faby akitoa maboko heavy wanamnyang'anya mpira ktk box wanatupia........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Mimi chale linanicheza nahisi kama huyu Denis Suarez barca wanataka kutufanyizia maana so kwa kutukomalia kule tuwape pesa wakati sisi tunataka tuchukue mkopo kwanza ili tujiridhishe kama kanjanja tuwarudishie wenyewe naona jamaa wamestuka wamekataa katakata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha asee we jamaa dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…