Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Daah kiukweli huyu mtu ni muhim sana
Huyu mshikaji taarifa ambazo mimi ninazo ni kwamba walipishana kauli na unai emery na bwana Raul sanhel


Huyu Sven alileta majina ya watu wa kusajiliwa na wa mkopo na alishafanya mazungumzo karibia kuisha ila unai na Raul wao wamesema wanamtaka mhispaniola wao Denis Suarez ambaye Sven anamuona n mchezaj wa kawaida sana na hakuwahi kumweka hata kwenye target zake.




Bayern wameweka mzigo ameomba kuvunja mkataba anaenda zake Bayern sasa

Kwaheri, Anakuja Marc overmas , aturudishie kile kizazi cha wafaransa
IMG-20190121-WA0010.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
*Milsintat final words*
"It's been an amazing experience to work at a great club like Arsenal in what has been a big time of change," said Milsintat in a statement posted to the official Arsenal website .

"I am excited about what the future holds for the club and am looking forward to new challenges for myself
IMG-20190121-WA0012.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suarez mwili Barca, moyo upo Arsenal

Suarez amejiona tayari kama ameshatua Arsenal baada ya kushindwa kuficha mapenzi yake wakati alipoonekana kama vile ameungana na Washika Bunduki hao kushangilia ushindi waliopata mbele ya Chelsea kwenye Ligi Kuu England juzi Jumamosi.

ISHU ya Denis Suarez basi tu Arsenal imeamua kujichelewesha yenyewe. Unaambiwa hivi, staa huyo wa Kihispaniola kwa sasa mwili tu ndio upo Barcelona, lakini akili na moyo wake upo kwenye mpango wa kuhamia Arsenal akakipige kwenye Ligi Kuu England sambamba na washambuliaji matata, Pierre-Emerick Aubameyang na Alexandre Lacazette.

Ripoti zinadai Arsenal inataka kulipa Pauni 1.7 milioni ili kumchukua Suarez kwa mkopo kwanza kwa makubaliano ya kulipa Pauni 17.5 milioni mwishoni mwa msimu ili kumbeba jumla mchezaji huyo.

Dili hilo bado halijakamilika na kinachoonekana ni Arsenal yenyewe tu ndio inayojichelewesha, lakini mchezaji mwenyewe yupo tayari kwenda kuungana na wenzake kufanya kweli kwenye mchakamchaka wa kuhakikisha timu hiyo inamaliza msimu ikiwa ndani ya Top Four.

Suarez amejiona tayari kama ameshatua Arsenal baada ya kushindwa kuficha mapenzi yake wakati alipoonekana kama vile ameungana na Washika Bunduki hao kushangilia ushindi waliopata mbele ya Chelsea kwenye Ligi Kuu England juzi Jumamosi.

Kikosi hicho cha Kocha Unai Emery kiliichapa Chelsea 2-0 shukrani kwa mabao ya Lacazette na beki wa kati, Laurent Koscielny.

Ligi Kuu England ilituma picha za wafungaji hao wa mabao ya Arsenal kwenye ukurasa wake wa Instagram na Suarez hakutaka kujivunga na kubonyeza kitufe kilichoandikwa ‘like’ ikiwa na maana amesapoti ushindi iliyopata timu hiyo ambayo inahusishwa na mpango wa kumsajili.

IMG-20190121-WA0003.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnakuaga na unafiki fulani...juz huyu kocha wenu alisemaje? C alisema hasikiii harufu ya damu mpya?
Suarez mwili Barca, moyo upo Arsenal

Suarez amejiona tayari kama ameshatua Arsenal baada ya kushindwa kuficha mapenzi yake wakati alipoonekana kama vile ameungana na Washika Bunduki hao kushangilia ushindi waliopata mbele ya Chelsea kwenye Ligi Kuu England juzi Jumamosi.

ISHU ya Denis Suarez basi tu Arsenal imeamua kujichelewesha yenyewe. Unaambiwa hivi, staa huyo wa Kihispaniola kwa sasa mwili tu ndio upo Barcelona, lakini akili na moyo wake upo kwenye mpango wa kuhamia Arsenal akakipige kwenye Ligi Kuu England sambamba na washambuliaji matata, Pierre-Emerick Aubameyang na Alexandre Lacazette.

Ripoti zinadai Arsenal inataka kulipa Pauni 1.7 milioni ili kumchukua Suarez kwa mkopo kwanza kwa makubaliano ya kulipa Pauni 17.5 milioni mwishoni mwa msimu ili kumbeba jumla mchezaji huyo.

Dili hilo bado halijakamilika na kinachoonekana ni Arsenal yenyewe tu ndio inayojichelewesha, lakini mchezaji mwenyewe yupo tayari kwenda kuungana na wenzake kufanya kweli kwenye mchakamchaka wa kuhakikisha timu hiyo inamaliza msimu ikiwa ndani ya Top Four.

Suarez amejiona tayari kama ameshatua Arsenal baada ya kushindwa kuficha mapenzi yake wakati alipoonekana kama vile ameungana na Washika Bunduki hao kushangilia ushindi waliopata mbele ya Chelsea kwenye Ligi Kuu England juzi Jumamosi.

Kikosi hicho cha Kocha Unai Emery kiliichapa Chelsea 2-0 shukrani kwa mabao ya Lacazette na beki wa kati, Laurent Koscielny.

Ligi Kuu England ilituma picha za wafungaji hao wa mabao ya Arsenal kwenye ukurasa wake wa Instagram na Suarez hakutaka kujivunga na kubonyeza kitufe kilichoandikwa ‘like’ ikiwa na maana amesapoti ushindi iliyopata timu hiyo ambayo inahusishwa na mpango wa kumsajili.

View attachment 1001500

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnakuaga na unafiki fulani...juz huyu kocha wenu alisemaje? C alisema hasikiii harufu ya damu mpya?
Alisema wapi, au ulibaka taarifa

Emery ndio anamuhitaji huyu mtu kwa nguvu

Na ndio sababu imemuondoa HEAD OF RECRUIT bwana SVEN hapo arsenal leo,

Yeye anawatu wake , aliowaskaut, Emery na Director wa timu wamesha suggest DENIS ,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
In fixture against Chelsea, Lucas Torreira made the most tackles in a single game [9] out of any player since the start of last season!
Absolute Warrior and a bargain at €20m
@ltorreira34 #Arsenal #AFC #Torreira
arsenalnewshub-20190122-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arsenal in the frame to take Monchi from Roma as a replacement for Sven @bbcsport_david


MONCHI NI MSHKAJI WAKE SANA EMERY, ndio walifanya kazi wote pale Sevilla, wanapenda sana wachezaj wa kiamerica,

Ujio wa monch itakuwa bonge la dili,



Sasa ndio nathibitisha KUONDOKA KWA SVEN, ni ugomvi wake na Emery na Raul,

Sven ana misimamo yake , tofaut na hawa wahispaniola EMERY NA RAUL,hataki kukubaliana nao,




Sent using Jamii Forums mobile app
 
*Milsintat final words*
"It's been an amazing experience to work at a great club like Arsenal in what has been a big time of change," said Milsintat in a statement posted to the official Arsenal website .

"I am excited about what the future holds for the club and am looking forward to new challenges for myselfView attachment 1001347

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa arsenal yetu ya ubahili huyu mtu alikuwa muhimu zaidi ya neno muhimu lenyewe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arsenal in the frame to take Monchi from Roma as a replacement for Sven @bbcsport_david


MONCHI NI MSHKAJI WAKE SANA EMERY, ndio walifanya kazi wote pale Sevilla, wanapenda sana wachezaj wa kiamerica,

Ujio wa monch itakuwa bonge la dili,



Sasa ndio nathibitisha KUONDOKA KWA SVEN, ni ugomvi wake na Emery na Raul,

Sven ana misimamo yake , tofaut na hawa wahispaniola EMERY NA RAUL,hataki kukubaliana nao,




Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tumuone monchi mie kwangu sven ni bora zaidi hajabase kwa wachezaji wa jamii fulan so kwake ni rahisi zaidi kuliko monchi kujisemea wamakonde, monchi kunogewa na wamarekani wa kusini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"I don’t care what anyone says, I love Guendouzi. I think he is a fantastic player and he’s somebody that the spirit of Arsenal is in him already."

- Ian Wright on Matteo Guendouzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Matteo Ni bonge la player kiukweli kabisa akija kukomaa vizur atakuwa moja kati ya viungo bora duniani km ataendelea hiv na majeruhi kumpitia mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*Ramon Rodriguez Verdejo, akiwa na A.k.A yake kama Monchi* ....huyu ni nani??????


Huyu ni mchezaji wa zaman wa sevilla ambaye ameataafu mwaka 1999 akiwa sevilla na kupewa kazi kama staff member mnamo mwaka 2000......


Mnamo mwaka 2001 alipandishwa cheo na kuwa moja ya wakurugenzi wa mpira ndani ya sevilla ambapo amehudumu apo Hispania kwa miaka 17 yaani kutoka 2000 -2017 .


Akiwa ndani ya sevilla akihudumu kama sports director *monchi* ameweza kusimamia au kusaidia kufanyika kwa usajili wa wachezaji nguli ulimwenguni na wale wa kawaida ila hapa acha nikuwekee wachezaji wachache kama tu ukihitaji zaidi ntakuongezea .....

*1*: *Dan alves*...huyu n mbrazil namba mbili bora aliyekuja ulaya kupitia mikono ya monchi na kutua sevilla.

*2:Julio bapista*

*3:Luis Fabiano*

*4:Federico Fazio*

*5:Alvaro negledo*

*6:Garry medel*

*7:Ever banega*

*8:kondogbia*

*9:Ivan ractic*

*10:Kelvin germeiro*

*11:Carlos barca*

*12:Jesus navas*

*13:Olsen*

*14:coric*

*15:julien escude*

*16: nzonzi*

*17:kanoute*

Kwa haraka wanakuja hawa hapa

Mnamo mwaka 2017 Manchester united ,Roma na Barcelona walitangaza nia ya kumtaka huyu MTU ila Roma wakachanga karata zao na kumchukua ....na adi Leo naandika hapa ni mkurugenzi pale Rome .

*monchi akiwa Roma* ameweza kufanikisha usajili wa watu kama 12 ila wengi hawafahamiki maana hawana namba ya kucheza pale labda tunaweza kusema ni future use people ila usajili wake mkubwa Roma naweza sema kuwa ni kumsajili *Justin kluivert* ambaye kaingia moja kwa moja kwenye kikosi na golikipa mswedeni ambaye aliingia moja kwa moja ndani ya kikosi.

Akiwa Roma monchi wameondoka watu kama Allison, salah ,Naigolan,strootman kwa uchache .....ila wapo wengi ambao sjawataja hapa maana najaribu kuonyesha keys na utendaji kazi wa huyu MTU.

Amefeli wapi??

Failure zake n nyingi sana kama mwanadamu ila failure inayoendelea kushika vichwa adi Leo ni kushindwa usajili wa *Malcolm* kutoka bourdex ambao ilikuwa ukamilike ndani ya lisaa limoja na ukavunjwa mchezaji akaenda Barcelona......... .

*mafanikio*

Kama ilivyokuwa kwa mascout na madirector wengi mafanikio yao huwa sio makombe ila huwa tunawapima kutokana na uwezo wa kusajili, kuibua na kuuza na pesa inayotumika ......kwa hapa hesabu zinamlinda monchi maana amekuwa akisajili kwa pesa ndogo na kuuza kwa faida kitu ambacho ndo kinatakiwa ndani ya arsenal.

Swali ni je ataweza kukaa miaka mingi arsenal kama alivyokaa sevilla????

Aaron ZE GANAZ
 

Attachments

  • IMG-20190122-WA0006.jpeg
    IMG-20190122-WA0006.jpeg
    19.6 KB · Views: 25
Back
Top Bottom