Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mzee hamna hata uefa wala europa mnakuwaje wababe mbele ya chelsea?
Ubabe sio kuwa na uefa,

Hapo hapo london, northgam ana uefa, lkn ni small team

London ni arsenal,

Idad ya mataji ya timu za london ukijimlisha hayafikii idad ya mataj ya arsenal

Unapozungumzia london unaizungumzia arsenal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubabe sio kuwa na uefa,

Hapo hapo london, northgam ana uefa, lkn ni small team

London ni arsenal,

Idad ya mataji ya timu za london ukijimlisha hayafikii idad ya mataj ya arsenal

Unapozungumzia london unaizungumzia arsenal

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa namtania tu si unajua mpira najua arsenal kwa mafanikio ndani ya epl yupo juu kwa timu za london.
 
Nilikuwa namtania tu si unajua mpira najua arsenal kwa mafanikio ndani ya epl yupo juu kwa timu za london.
Yaan leo umekuja kuleta vurugu tu huku, haya bhana,

Mm ijumaa nakuja kwenye uzi wenu kuwasumbuen, maana ijumaa lazima tuwandandike, tumeshapata momentum kutoka kwa chelsea ya kuwaangamiza nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna timu ya kunifunga ,

Jana brighton unaomba mpira uishe

Sent using Jamii Forums mobile app
Timu yetu ndivyo ilivyo hata nnapokufungaga huwa mpira mzur anacheza arsenal point 3 huwa zinaenda old trafford ipo hivyo nafikir ukumbuka last season save za david de gea unakula chuma 3 mpira ulikuwa kwako magoli na point 3 kwetu.
 
Yaan leo umekuja kuleta vurugu tu huku, haya bhana,

Mm ijumaa nakuja kwenye uzi wenu kuwasumbuen, maana ijumaa lazima tuwandandike, tumeshapata momentum kutoka kwa chelsea ya kuwaangamiza nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mpira ni utani na furaha ivo yani tunafurahi na kuhuzunika ule ni utani mpira dakika 90 hamna mwenye uhakika wa kushinda
 
Timu yetu ndivyo ilivyo hata nnapokufungaga huwa mpira mzur anacheza arsenal point 3 huwa zinaenda old trafford ipo hivyo nafikir ukumbuka last season save za david de gea unakula chuma 3 mpira ulikuwa kwako magoli na point 3 kwetu.
Juz hapo hapo OT umetokea tundu la sindano

Linapokuja swala la FA hata hapo OT nakunyoosha, hata fainal utachezea tu,

Siunakumbuka welbek anawaua hapo hapo OT , robo fainal FA

Msipige kelele man u, timu yenu inashinda lkn bado defencive mnaruhusu kushambuliwa,

Shauri yenu, ijumaa utaniambia



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa toreira utamfananisha na mzigo ule fred,
Mpangen ijumaa muone shughul yake

Kawaulize chelsea jana habar za toreira

Au subir ijumaa emirates nakunyoosha

Sent using Jamii Forums mobile app
Fred bonge la mtu hajachezeshwa na sosha mech za karibuni matatizo ya kifamilia mke wake kujifungua hata dubai hakwenda alipewa ruhusa alikosa mazoezi.
 
Juz hapo hapo OT umetokea tundu la sindano

Linapokuja swala la FA hata hapo OT nakunyoosha, hata fainal utachezea tu,

Siunakumbuka welbek anawaua hapo hapo OT , robo fainal FA

Msipige kelele man u, timu yenu inashinda lkn bado defencive mnaruhusu kushambuliwa,

Shauri yenu, ijumaa utaniambia



Sent using Jamii Forums mobile app
Ujue timu nzur hushinda kwa namna yoyote huhitaji kucheza vizur kuondoka na point 3 vile tunacheza kuna kitu tuna prove kushinda 1-0 sio mchezo kwa timu kama spurs na ukaulinda ushind wako vipind vyote nakubali defence haipo poa ila kwa sasa sio wepesi
 
Juz hapo hapo OT umetokea tundu la sindano

Linapokuja swala la FA hata hapo OT nakunyoosha, hata fainal utachezea tu,

Siunakumbuka welbek anawaua hapo hapo OT , robo fainal FA

Msipige kelele man u, timu yenu inashinda lkn bado defencive mnaruhusu kushambuliwa,

Shauri yenu, ijumaa utaniambia



Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si michael oliver alileta ukichaa wake wa kumpa umeme di maria
 
Ujue timu nzur hushinda kwa namna yoyote huhitaji kucheza vizur kuondoka na point 3 vile tunacheza kuna kitu tuna prove kushinda 1-0 sio mchezo kwa timu kama spurs na ukaulinda ushind wako vipind vyote nakubali defence haipo poa ila kwa sasa sio wepesi
Hapo umeongea ukweli, lkn siokila siku degea atawaokoa

Na game ijumaa OGS asijiroge kumpiga bench degea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom