jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 10,962
- 10,603
Wengi wetu huwa tunashangazwa na sana na maoni ya hao pundits au hata magazeti kwenye michezo, yawezekana waandishi wengi ni either Manure, Chelski, Spuds au ni London rivals tu, inasikitisha sana...Majority of English pundits NEVER give credits to Arsenal, sijui wengi wao Arsenal imewakosea nini? Kuna uwezekano Arsenal iliwachukulia wake zao.
Yaani wengi wao jana wanadai chelsea underperformed ndio maana kafungwa na sio juhudi za Arsenal.
Kama kwa sasa wanavyoandika kwa masikitiko kuhusu Harry Kane utafikiri kuna kifo?! Kumbe ni kuumia kwa muda na siyo kwamba hawana strikers wengine!


