Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa wajinga hata game ya kwanza chupuchupu
IMG-20190119-WA0013.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vizuri sana mkuu ..muhimu Man united Asipande popote..

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu muache apige kelele ,ujue epl ina tabia moja , na ukiijua bas hauna wasiwasi, huyu manyua ana game kama mbili hiv, ataanza kuchezea vipigo, then ataarud mtaa wa 7 kwa kasi ya SGR, amin ninachokwambia, hiki kipind cha mpito ktk epl huwa tunakipitia kila timu,

Ukiwa unakivuka vzr bas unakuwa na sifa ya ubingwa, ndio kinachomtokea liver ,angalia game na brighton, na c palace ,anazivuka kiwiziwiz tu,

Soon ,man u atakutana na arsenal FA CUP, chelsea ,man city, psg home and away, akili itamkaa sawa,

Atarud mtaa wa 6 kwa gape la point 6,

Hizi kelele zitaisha, maana timu yao inapata matokeo lkn bado inaudhaifu, inashambulika kirahisi sana, na lile zali alilopata kwa tot ,hatalipata kila siku

Kwasasa tot hana kane na son, huu ndio muda wa kumleta huku chini, tupitilize kule juu

This is EPL ,ubingwa tumuachie city na liver

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongereni,

Tukutane tarehe 25.
Tutawanyoa na chupa.

Btw, asanteni kwa msaada mliotoa leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna Historia ya kumtoa Arsenal FA ,mara zote huwa tunakupigaga ,mara ya mwisho nimekupiga hapo OT 2-1 ,goli la pili akifunga Welback,yaani we jiandae kupigwa na 2005 nikachukua FA mbele yako.
 
Kwa mpira waliocheza jana manutd, pumzi imeanza kukata. Jana waliyokea tundu la sindano. Sio threat tena kwa arsenal hapo top 4. Wakija emirates tunawatoboa fresh.
 
Majority of English pundits NEVER give credits to Arsenal, sijui wengi wao Arsenal imewakosea nini? Kuna uwezekano Arsenal iliwachukulia wake zao.
Yaani wengi wao jana wanadai chelsea underperformed ndio maana kafungwa na sio juhudi za Arsenal.
 
Back
Top Bottom