Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,210
mkuu umedailisha picha? Ndio naona sasa.....mwaka mpya na mambo mapya...jamaa wamekosa penati
yaap mkuu nimebadilisha si unajua msimu mpya unakuja ha ha ha.
mkuu umedailisha picha? Ndio naona sasa.....mwaka mpya na mambo mapya...jamaa wamekosa penati
full time 3 - 23 - 2
Chris Waddle alisema Walcott pamoja na kuwa na kasi na ni mchezaji mzuri ila hana football brain, na hili ni kweli, kwa kiasi fulani ana-improve ila maamuzi yake mara nyingi huwa mabovu, timing yake ya ku-release mpira ni mbovu na sehemu ya kuweka krosi basi yeye atataka kufunga hata kama ni impossible angle.Walcott inabidi ajaribu ku-improve final ball zake kwani huwa anaata nafasi nyingi sana ya kutengeneza magoli lakini hatumii vizuri.
3 - 1
3 - 2
full time 3 - 2
Walcott inabidi ajaribu ku-improve final ball zake kwani huwa anaata nafasi nyingi sana ya kutengeneza magoli lakini hatumii vizuri.
Chris Waddle alisema Walcott pamoja na kuwa na kasi na ni mchezaji mzuri ila hana football brain, na hili ni kweli, kwa kiasi fulani ana-improve ila maamuzi yake mara nyingi huwa mabovu, timing yake ya ku-release mpira ni mbovu na sehemu ya kuweka krosi basi yeye atataka kufunga hata kama ni impossible angle.
Wakuu mpo habari za siku kibao?
Arsenal safari hii ni lazima wapate kombe.
![]()
Jana Chamakh aling'ara sana akicheza nafasi ya Van Persie ambae ameongezewa likizo na Fabregas pamoja na Alex Song Bilong.
![]()
Chamakh akishangilia goli alilofunga dhidi ya AC Milan pamoja na Jack Wilshere, Samir Nasri na Emmanuel Frimpong.
![]()
Kuna wasiwasi mkubwa kwa kipa Lucas Fabianski na jana hakuweza kuzuia goli lisifungwe na Alexandre Pato.
Wenger bado anatafuta beki mmoja baada ya Sol Campbell kwenda Newcastle na labda kipa. Wenger hana imani kabisa na makipa alio nao baada ya blunder walizofanya msimu uliopita.
![]()
Beki wa kati Spahic mwenye asili ya Bosnia.
Emir Spahic wa Montpellier huenda akanunuliwa ikiwa Wenger atashindwa kumnunua Per Mertesacker kutoka Welder Bremen ya Ujerumani.
...kwema tu hapa, za likizo? karibu tena.
Wakuu hivi inakuwaje...kuna mechi Arsenal wanakuwa mbele say magoli mawili kwa bila LAKINI timu pinzani wanayarudisha. Leo celtic walikuwa nyuma kwa magoli matatu, wakarudisha mawili na kama zingeongezwa dakika pale huwenda wangerudisha la tatu.....huwa inaniuma kweli, tumeshinda/tuko mbee magoli mawili, yanarudi.......iiiiii
Naona Arsenal wameponea chupichupi kwene kikombe chao cha mbuzi...lolWakuu hivi inakuwaje...kuna mechi Arsenal wanakuwa mbele say magoli mawili kwa bila LAKINI timu pinzani wanayarudisha. Leo celtic walikuwa nyuma kwa magoli matatu, wakarudisha mawili na kama zingeongezwa dakika pale huwenda wangerudisha la tatu.....huwa inaniuma kweli, tumeshinda/tuko mbee magoli mawili, yanarudi.......iiiiiimkuu inamnaanisha kwmba beki zetu bado ni goi goi.
...hizo chupu chupu anazosema 'Rossoneri' ndio zinazonikosesha raha mimi!
Raha ya mpira kujiamini, sio kuwekana roho kooni mpaka dakika ya 90, ...ukipaliwa tu watu wanakubadilisha jina.... -marehemu!
...hata Van Persie na Fabregas wakirudi likizo, inajionyesha wazi kwenye Defence bado tatizo! Tunahitaji kipa mwenye uwezo wa ku organize defence!
Mkuu za siku?It's gonna be a loooooong season for you, Mr. Gnat....:lalala::lalala::lalala::lalala::lalala::lalala:
It's gonna be a loooooong season for you, Mr. Gnat....:lalala::lalala::lalala::lalala::lalala::lalala:
...hizo chupu chupu anazosema 'Rossoneri' ndio zinazonikosesha raha mimi!
Raha ya mpira kujiamini, sio kuwekana roho kooni mpaka dakika ya 90, ...ukipaliwa tu watu wanakubadilisha jina.... -marehemu!
...hata Van Persie na Fabregas wakirudi likizo, inajionyesha wazi kwenye Defence bado tatizo! Tunahitaji kipa mwenye uwezo wa ku organize defence!
Mbu :A S-heart-2: Arsenal, hivi umepewa nini!..Shabiki wa kweli!!..EPL ije tu presha nazo zianze🙂
Arsenal kufanya surprise kwa kununua wachezaji wawili kwa mpigo. hio ni kwa mujibu wa tetesi ndani ya duru za mpira.
Mzee Wenger anataka kuwa na ngome imara ya ulinzi na kipa.
![]()
Serdar Tasci mwenye asili ya Uturuki ana miaka 23.
![]()
Mjerumani Rene Alder ambae ana umri wa miaka 25
Leo jioni hii kuna taarifa kwamba huenda Arsenal ikawanunua wachezaji wawili kwa mpigo kutoka timu
ya Stuttgurt ya Ujerumani na Bayern Leverkuzen.
Nao ni beki wa timu ya taifa ya Ujerumani Serdar Tasci na Stuttgurt na kipa wa Ujerumani na Bayern Rene Adler ambae aliachwa kucheza world cup kutokana na kuwa majeruhi.
Wachezaji hao wawili watagharimu kitita cha millioni 22.