Aron ramsey leo amethibitisha kusain dili na juventus kwa kipindi cha miaka mitano
Ramsey:Nimekuwa hapa kwa kipindi cha miaka 10 nazani hakuna mchezaji ambae amedumu kwa muda kama niliokaa mimi ndani ya arsenal ambae yupo hadi sasa..napenda kila kitu ndani hii klabu nimeanza kucheza timu ya vijana pamoja na kina theo (walcott) oxlade chamberlain hadi kuitwa timu ya wakubwa 2008 nikiwa na miaka 17 hivi sasa nina miaka 27 napenda kuwashukuru mashabiki pamoja na viongozi wa arsenal kwa sapoti yao kwangu
Arsene wenger kwangu ndie mtu nitakae mkumbuka katika maisha yangu yote alinitoa kule kwetu wales had england nikiwa nina miaka 14..Tumekuwa pamoja kwa muda mrefu sana katika furaha na karaha nakumbuka mwaka jana kabla hajaondoka aliniambia nibakie arsenal ili nami niwe legend km denis bergkamp henry na rosicky lakini nasikitika hilo haliwezi kufanikiwa
Nazan kocha wa sasa hv ana falsafa zake ambazo hazinihitaj mimi na baadhi ya wachezaji
Ila mimi nitakuwa balozi wa arsenal na nafikiri ipo siku nitarud tena hapa kwa mara nyingine tena
AHSANTENI
View attachment 986235
Sent using
Jamii Forums mobile app