Chembers naEmery ana bahatisha, I guess he is frustrating players, ni wazi hajui anachokitaka na anachokifanya
Mchezaji gani amekukera mkuuIv kuna utaratibu gan kama mchezaj ukifanya makosa ya kijinga kijinga
Sent using Jamii Forums mobile app


Mim apa mkuu,Mimi nataka niqaone wale washabiki wenzangu wa arsenal ambao kila kukicha wanamsifia emery
Sent using Jamii Forums mobile app
Beki niya hovyo mno,inafungwa magori ya kijinga sana,tena tangu msimu uanze,kocha anaangaliaLeo tumekuwa kama gagulo,linabana juu chini linaachia, yaani sioni tulichozidiwa, ila beki ipo hovyo. Xhaka hapa kisha panic mda si mrefu anakula nyekundu.
Beki hatuna na mbele sijaona mipira ya maana aliyolishwa auba, aingie laca ili kuleta pressure kule mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huoni mlichozidiwa !!!! basi utakuwa na shida sana kwenye masuala ya mpira.Leo tumekuwa kama gagulo,linabana juu chini linaachia, yaani sioni tulichozidiwa, ila beki ipo hovyo. Xhaka hapa kisha panic mda si mrefu anakula nyekundu.