AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Arsenal haina tofauti na Fulham
hao fulham ni hadhi yako wewe,mimi wakunifananisha nao ni chelsea,man u,city,leicester na sababu unaijuaArsenal haina tofauti na Fulham
Na nyie Liverpool mna matambo sana.Hii team wanacheza kwa maneno ya mdomon lakin kwenye field ni zero kabisa.
Tarh 29 karibun Anfield tuwaonyeshe kazi, hamna kikosi cha kushindana na liver huo ndio ukweli mchungu.
Manatoa draw na Brighton mnajielewa kwel nyie? Kikosi kizima kilipangwa kuanzia Auba, Torori, gazeti, etc sasa sjui mnataka nini
Na nyie Liverpool mna matambo sana.
Mkipigwa na arsenal sijui mtaficha wap nyuso zenu..
ila unaweza kupigwa na zuwena zubeda 2 mtungiTunaweza kupigwa na Chelsea au City lakin sio Arsenal hii iliyopigwa 3 na Southmptn na kudraw na Brighton
Official..!! Arsenal Close to Finalize £18m January Signing of Class Midfielder!
Mbona ww una morata wa £75m kakusaidia nini had sasaMidfielder wa £18 Mil! Ndo aje kuisaidia timu kuwa mabingwa?
Kesho Tunashinda vzr iwapo bek no 2 itafanya majukumu yake,
Mpaka sasa ninaona upungufu bek no 2 tu, coz niles sio mzur kutia majaro, babu lich sitak kumzungumzia , kila mtu anajua babu hawez kupiga hata kross
Bek za kati akicheza papa hata na kos, au kama mustaf atakuwa fit hatutayumba sana,bek 3 yupo muhun kola
Kati mnajua akiwepo xhaka ,toreira pana usalama, sion kiungo cha liver cha kubattle na wahuni hawa
Kule mbele awepo laca kusumbua mabek, ili auba apate pace atupie, na kesho inatiwa aanze na iwobi kabisa tuwafos upande ule wa trent anord , ili kola awe analeta V kwa ajir ya laca na auba kumaliza shughuli,au auba acheze pemben kusubir mipira kutoka kwa kola kwa ajir ya kuingia nayo ndani
Muhind kampa arsenal 6 odds nimezifata bila kujiuliza,
Kesho kama tutafungwa bas makosa yataanzia kwa bek namba 2 not otherwise ,
Iwapo liver watambwela upande wa mane , bas wamekwisha
Tutawapiga 3+
Sent using Jamii Forums mobile app
sina mashaka na hii game nimezifata point 6 pasi na shaka Emery hawezi kumuweka babu upande wa kulia kesho....licha ya majeruhi tuliyonayo napenda angalau hata amweke Jenkinson ....eneo la katikati lipo salama salmini maana majembe yote yapo.....xhaka,torreira,ramsey,guendouz,ozil.....pale mbele ndio sina haja ya kuzungumza .......shida ni hapa katika backline tu ambapo ikiwa sawa mm ntakuwa naagizia fanta bariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiddddddddddddddddddddd huku tukipeleka kilio kwa kuvunja bikra ya mtu..........................Kesho Tunashinda vzr iwapo bek no 2 itafanya majukumu yake,
Mpaka sasa ninaona upungufu bek no 2 tu, coz niles sio mzur kutia majaro, babu lich sitak kumzungumzia , kila mtu anajua babu hawez kupiga hata kross
Bek za kati akicheza papa hata na kos, au kama mustaf atakuwa fit hatutayumba sana,bek 3 yupo muhun kola
Kati mnajua akiwepo xhaka ,toreira pana usalama, sion kiungo cha liver cha kubattle na wahuni hawa
Kule mbele awepo laca kusumbua mabek, ili auba apate pace atupie, na kesho inatiwa aanze na iwobi kabisa tuwafos upande ule wa trent anord , ili kola awe analeta V kwa ajir ya laca na auba kumaliza shughuli,au auba acheze pemben kusubir mipira kutoka kwa kola kwa ajir ya kuingia nayo ndani
Muhind kampa arsenal 6 odds nimezifata bila kujiuliza,
Kesho kama tutafungwa bas makosa yataanzia kwa bek namba 2 not otherwise ,
Iwapo liver watambwela upande wa mane , bas wamekwisha
Tutawapiga 3+
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kukurupuka ww huyo shabik wa liver na morata wap na wap