Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Washika bunduki jina letu linafifia jaman...

Emery anazid kumuona Lacazete kama bibi ake tu.
 
Mpe heshima kama binadamu mwenzeko,sio kumuita mbwa

Hata mimi nimechukizwa sana na namna ya uchezaji wake, lakini tutafanya nini sasa

Hiki kitoto, ukiangalia uchezaji wake, you will definitely realise that he is a fool. Hawezi kufanya maamuzi sahihi muda sahihi. Narudia kusema hivi vichezaji vya bei rahisi haviwezi kuipeleka arsenal top four
 
Karibuni machinjioni tar 29, kuna wapiga ramli nawasubiri kule kwenye Uzi wa Liverpool...
 
Washika bunduki jina letu linafifia jaman...

Emery anazid kumuona Lacazete kama bibi ake tu.
sub ya lacazette sijamuelewa kocha kabisaaaaaa ila all in all tumepata point 1 away sio mbaya kuliko kufungwa kabisa ...tujiandae na safari ya anfield...


sehemu ya ulinzi ndio inayotuangusha sana maana waliokuwepo wote hawana kasi inayokidhi mahitaji kwakweli dahhhhhhhhhh na Shrokodan atarudi baada ya game ya liverpool,,,,,huyu Lichtsteiner kwakweli anazingua sana maana si kwa vicross vile,PEA nae anapoteza nafasi nyingi za kufunga.......
 
sub ya lacazette sijamuelewa kocha kabisaaaaaa ila all in all tumepata point 1 away sio mbaya kuliko kufungwa kabisa ...tujiandae na safari ya anfield...


sehemu ya ulinzi ndio inayotuangusha sana maana waliokuwepo wote hawana kasi inayokidhi mahitaji kwakweli dahhhhhhhhhh na Shrokodan atarudi baada ya game ya liverpool,,,,,huyu Lichtsteiner kwakweli anazingua sana maana si kwa vicross vile,PEA nae anapoteza nafasi nyingi za kufunga.......
Kosa alifanya kocha kumtoa chembers kwa mkopo
 
Walikiwa wanagonga mademu zao karbia wote ndo maana leo ilikua ni sindimba tu uwanjan.

Nafuu Laca na iwobi

Shaka na yeye walele kona anachonga utafikili mim.
sub ya lacazette sijamuelewa kocha kabisaaaaaa ila all in all tumepata point 1 away sio mbaya kuliko kufungwa kabisa ...tujiandae na safari ya anfield...


sehemu ya ulinzi ndio inayotuangusha sana maana waliokuwepo wote hawana kasi inayokidhi mahitaji kwakweli dahhhhhhhhhh na Shrokodan atarudi baada ya game ya liverpool,,,,,huyu Lichtsteiner kwakweli anazingua sana maana si kwa vicross vile,PEA nae anapoteza nafasi nyingi za kufunga.......
 
haka kaugonjwa kakufunga na kuchomolewa fastafasta kapo london nzima huko kwa majirani zetu nao wamepata goli dk45 dak45 watford wamechomoa hahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kosa alifanya kocha kumtoa chembers kwa mkopo
kuna makosa mawili hakika yamefanyika kumwacha chambers kwa mkopo lakini pia kumuuza Gabriel maana jamaa alishaanza kukaa katika njia nzuri dahhhhhhhhhhhhh ila EMERY KNOWS
 
Walikiwa wanagonga mademu zao karbia wote ndo maana leo ilikua ni sindimba tu uwanjan.

Nafuu Laca na iwobi

Shaka na yeye walele kona anachonga utafikili mim.
lichtsteiner alikuwa kashakojoa mapemaaaaaaaaaaa nashangaa kocha amemwacha mpaka kachomesha sikuona sababu ya ozil kutoka a;afu anamweka maitland ila poa ALUTA CONT.
 
Game ya tar 2 Dec dhidi ya Spurs ambayo tulishinda 4-2 ilikua game ya mwisho ambayo tulicheza vizuri na kujiamini baada hapo tuka draw na United alafu kwa mbinde tukamfunga Hudderfield goli 1 (Goli la Torreira) na ilikua dakika ya 80+ kinachoendelea kwa sasa ni miujiza tu kama tumepoteza uelekeo ivi.
Next game tuko na Liva kama hii trend yetu ikiendelea hakika itakua mechi ya mateso sana ni wakati sasa Unai na benchi lake waangalie nini la kufanya maana tulikua na uelekeo safi tu pale kati sijui nini hasa tunafanya,naamini tunaweza kubadilika.
 
Gazeti, andazi, ozil, toroli, auba, chaka
Semeni flopper gani halikuwemo kikosini leo?
 
Emery on his substitutions at Brighton
Arsenal Media 26 Dec 2018
laca_59.jpg

This season, we've scored nine goals through our substitutes - more than any other side in the Premier League.

But despite making three changes by the 70-minute mark, we could find no way through at Brighton on Boxing Day and afterwards Unai Emery faced the media to discuss his thinking.
This is what he told them:
on why he thinks his substitutions didn't make an impact today...
Tactically, some matches I did that and I wanted to control it better with the positioning on the pitch. But in the second half we couldn't do our ideas on the pitch for imposing ourselves and this imposing positioning can give us more options in attacking moments to score. We created less chances in the second half and not clear [chances].

on if he regrets taking off Ozil…
It’s only tactical - we’ve changed the idea at half-time in other matches, with other players. Today I thought to do it with Mesut, but it’s only tactical - not another problem.
on why he took off Alexandre Lacazette while drawing the game...
But I think also that Aaron Ramsey deserved to play, he deserved to take responsibility also because he wants to help us. I think Aaron Ramsey played a good match today in this moment.
 
Back
Top Bottom