Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ozil mzigo sana...January haifiki aondoke.Yaani haonekani anachofanya.Anacheza kama kalazimishwa.
 
arsenal performance in the second half has been awful, huwezi kutegemea cheap players kama niles, leichstener kuonyesha impact
 
Pair ya Auba na Mikhtaryan huwa haikwepeki then unaongezea na Ozil kwenye left wing, halafu ukitaka upatie kati weka Xhaka, Toreira na Ramsey
 
mechi ya hovyo kuiona kwenye epl mwaka huu. still I have a question mark over emery performance
Tumecheza ovyo kuliko uhovyo wenyewe...Tujiandae kisaikolojia dhidi ya Liverpool..
Sema UNAI anafanya kazi na wachezaji wabovu hao aliowakuta tumpe Muda alete wachezaji anawaotaka.
 
Nafasi alizokosa auba ndio za kujutia kabisa,Toreilla na Mateo,mmoja wapo lazima aanzie benchi
 
Ngoja Chelsea acheze tujue nani anamaliza mzunguko wa kwanza kwenye top 4
 
tazama hilo Mbwa iliyoingia sasa hivi, niles liko hovyo sana
Mpe heshima kama binadamu mwenzeko,sio kumuita mbwa

Hata mimi nimechukizwa sana na namna ya uchezaji wake, lakini tutafanya nini sasa
 
Back
Top Bottom