Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,519
- 32,675
hi match naiona draw ya 1-1
Ata torreira angekuwepo sub angekaa elnenOzil hapo ni uchafu tuu wanampamba ili kukamilisha dili na PSG hakuna lingine.
Nasikitika kutokumuona mnyama Torreira
kwahiyo mchezaji akishangilia sana anapokuwa amefunga maana yake alikuwa anaisaka suluhu?duh hizi tafsiri zako kali sana kwahiyo shaqir alivyofunga dhidi ya man u alivyoshangilia sana ilik uwaje mkuu?ila sawa takwimu uliziangalia after match lakini? hivi umiliki wa mpira wa 60's dhidi ya 30's hapo nani anakuwa kaelemewa? soka halinaga unafki ukileta unafki unaumbuliwa na statistics........Haha man city kwa liverpool huwa anatuzid vingi mwisho wa siku wanadondokea4,3,2 juzi aliambulia draw
Ile game fab alikua hajawa mzuri kwenye kukabidhiwa majukumu thus y akaflop ila kwa sasa anaweza akapewa majukumu na akayatekeleza
Nakukumbusha ile game nyinyi ndio mlitafuta draw sio sisi thus LACAZE alipofunga lile goli mlishangilia sanaaa
Sasa ngoja uone Anfield ulivyo uwanja mchachu kwa tim yyt ile 29 december is coming soon
Du mwaka 90?au nimeona vibaya ndo mwisho kuchukua?Liverpool Trophies:
League Tittles: 18
First Division League Champions: 18 (1900/01, 1905/06, 1921/22, 1922/23, 1946/47, 1963/64, 1965/66, 1972/73, 1975/76, 1976/77, 1978/79, 1979/80, 1981/82, 1982/83, 1983/84, 1985/86, 1987/88, 1989/90)
sema mwenyewe usije sema nawaonea hiyo ilikuwa ni karne ya ngapi mkuu?
Wwkwahiyo mchezaji akishangilia sana anapokuwa amefunga maana yake alikuwa anaisaka suluhu?duh hizi tafsiri zako kali sana kwahiyo shaqir alivyofunga dhidi ya man u alivyoshangilia sana ilik uwaje mkuu?ila sawa takwimu uliziangalia after match lakini? hivi umiliki wa mpira wa 60's dhidi ya 30's hapo nani anakuwa kaelemewa? soka halinaga unafki ukileta unafki unaumbuliwa na statistics........
siku ile mliomba mpira uishe
yah upo sahihi mkuu ulikuwa ni msimu wa 1989/1990 sijui ni karne ya ngapi huko ila ni ile ya vita kuu ya dunia alafu wanakuja hapa kupiga kelele na tuliopiga unbeaten katika karne hii tuliyopo hahahahaha ni vichekesho hiviDu mwaka 90?au nimeona vibaya ndo mwisho kuchukua?
kimbilia kwa soton tena hahahahahahahaha kwakuwa wewe ulichemka nlikupigisha kwata ukalala na maviatu pamoja mama sara wako hahahahahaha COYGWw
Unaelewa ila unakaza ubongo tu
Bas subir 29december
Msumari ambao soton aliuzamisha haukuwaingia vzr ndio maana hamjajinyonga mpk ss
Liver anakuja kuupigilia vzr ukuingieni vzr
pambaneni na banley kwanza afuu tutaongea
Ata torreira angekuwepo sub angekaa elnen
Broo sehemu kubwa ya mpira ni akili, ndio maana Africa kila siku tunacheza makilikili tu
Utanielewa baada ya dakika 90
hi match naiona draw ya 1-1
️Hahaha yaani timu yao nzima ya liverpool ya sasa hivi wakati huo hakuna aliyekuwa amezaliway
yah upo sahihi mkuu ulikuwa ni msimu wa 1989/1990 sijui ni karne ya ngapi huko ila ni ile ya vita kuu ya dunia alafu wanakuja hapa kupiga kelele na tuliopiga unbeaten katika karne hii tuliyopo hahahahaha ni vichekesho hivi
yah ni almost kwani milner alikuwa anavaa pempers muda huo waliobaki walikuwa katika zipuHahaha yaani timu yao nzima ya liverpool ya sasa hivi wakati huo hakuna aliyekuwa amezaliwa