radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Burnley hawez kumfunga arsenalLet's goo our Boys Burnley... I trust you guys, Come One Burnley.
Burnley Forever.
Burnley hawez kumfunga arsenalLet's goo our Boys Burnley... I trust you guys, Come One Burnley.
Burnley Forever.
Acha kuwa kama james delicious basiLet's goo our Boys Burnley... I trust you guys, Come One Burnley.
Burnley Forever.
Teh teh sijawahi kuogopa kutukanwa na mtu nisie mjuaHivi hili jukwaa la The Gunners au Liverfools. We kiazi mbona unajua ka demu muuza papa. Si ukajadili kablu yako kwenye jukwaa lenu.
Kuandika yenyewe hujuiHivi hili jukwaa la The Gunners au Liverfools. We kiazi mbona unajua ka demu muuza papa. Si ukajadili kablu yako kwenye jukwaa lenu.
Mkuu huyu hajui kinachoendelakumbe imekuuma sana mkuu, pengine hujui washabiki wenzio wanachofanya kwnye majukwaa mengine. Fresh lakini mchezo hauhuitaji hasira huu
Mwaka gani ???utasikia 2009hapo unapopaita machinjioni nshakupiga 6 so sidhani kama nina la kuhofia hapo
Hamna mchezaji wa kumpiga bench ozil ArsenalWakuu mimi naona Mesut Ozil ndio tatizo. Hatufai arsenal
Siku ile anaingia tupo 2-2 na southampton tukaishia kuongezwa cha 3.
Alafu hata kipindi kile washabiki wengi wa arsenal wanamponda yeye anasubilia kupewa tu mpira hawezi kufight wakati hatuna mpira mm naona ni ngumu yeye kujibadilisha.
Asipocheza leo natabir mazur kabisa kwa arsenal yetu.
😁😁 Nimeacha kumzongazonga aiseeMkuu huyu hajui kinachoendela
Kuandika yenyewe hajui
Angalia ukimzongazonga sana hachelewi KUJINYONGA
hahahahahaha ila hukumbuki pale nilipokupiga 6 six au SITA ukiwa hapo anfield ila unakumbuka 8 ambazo wewe hukuzishughulikia duuuuuuuuh hatari hii,😛😛😛😛😛🙂🙂🙂🙂🙂Teh teh sijawahi kuogopa kutukanwa na mtu nisie mjua
Usipanik ukipaniki naongeza dozi
HAMJAWAHI KUCHUKUA UEFA na mpaka unakufa hata fainala ARSENAL haito kuja kucheza tena ya UEFA
Timu inafungwa nane ichukue UEFA nakufaa
Afuu tusipangiane pia cha kupost huu ni Ushabiki tu so kitulize
hapo unapopaita machinjioni nshakupiga 6 so sidhani kama nina la kuhofia hapo
Hamna mchezaji wa kumpiga bench ozil Arsenal
Jipeni moyo na huyo TORORI wenu
Mkuu wew hujui mpira unavoitaji nguvu nyingi.
Zoezi analopiga Ronaldo linamfanya kuwa star dunia nzima
Siku Ozil skiweza kupiga hata shoot moja zito kana la Ronaldo nitamuita mchezaj bora duniani
Unafikili Ozil anaweza kufikia timbwili la torreira hata kidogo?
Torreira ndo juhud zake kama kina modrich bhana wachezaji bora. Sio huyo Ozil
hahahahaha kwahiyo ikiwa 2009 ndio inatoa uhalali wa hicho kichapo mkuu?mbona wewe bado unajisifia umebeba UEFA na ulilibeba 2005 huko......ushabiki wa mpira wahitaji uvumilivu so tulia hivyohivyo dawa ikuingie,Mwaka gani ???utasikia 2009
Sasa ww nikikuuliza mara ya mwisho kumfunga liverpool au man u unakumbuka ni ln??
Nimekupiga hapa karibuni sanaa
hahahahahaha ila hukumbuki pale nilipokupiga 6 six au SITA ukiwa hapo anfield ila unakumbuka 8 ambazo wewe hukuzishughulikia duuuuuuuuh hatari hii,😛😛😛😛😛🙂🙂🙂🙂🙂
ikifika next week utatimiza miaka 30 bila kubeba ligikuu na huku ukiing'arisha ile rekodi yako ya kutowahi kubeba EPL unashindwa hata na leicester city hahahahahahahahahhahhhhhhhhhhhhhhhhhh wakat mimi nikilibeba mara 3 na man u mara 13 wewe unalitunbulia mimacho tu,sasa hilo ni timu au jumba la makumbusho? karibu GUNNERS katika burudani ya soka mkuu
Sikatai mkuu,,Haha unafurahisha sana Ushindi mwingi wenu ulikua kwenye mikono ya huyo kiumbe ukitaka kuamin leta takwimu ya assist zake last season
Hahahahahahaha kwahiyo ikiwa 2009 ndio inatoa uhalali wa hicho kichapo mkuu?mbona wewe bado unajisifia umebeba UEFA na ulilibeba 2005 huko......ushabiki wa mpira wahitaji uvumilivu so tulia hivyohivyo dawa ikuingie,
alafu mambo ya kutafuta huruma kutoka kwa majirani uache wewe ni liverpool hayo ya man u waachie kina radika wayaongelee fact ni kwamba nilikupiga 6 anfield so haijalishi ni mwaka gani ila ni karne hii hii .............hivi wewe unajua kama timu yako mara ya mwisho kuchukua ligikuu ni karne ya ngapi lakini?au unajipigisha kelele tu
wewe jitoe fahamu lakini uzuri wake mimi najua kuwa una akili timamu kabisa ila ukweli ni kwamba timu yako mara ya mwisho kuchukua ligi ni ile karne ambayo vita ya kwanza ya dunia ilipiganwa sasa sijui wewe ulikuwepo ama nini.......................na suala la EPL wewe hujawahi beba na ushahidi upoMan u kabeba mara 20
Liverpool-18
Kingine ????
UEFA mpka dunia inaisha hamtokuja beba mnazidiwa mpk na chelsea ya 2004 hahaha nyinyi huwa wasindikizaji tu UEFA
Ok mkuu naheshimua mawazo yako lkn me OZIL kwangu bado ni dhahabuSikatai mkuu,,
Lakini sio kwa ugumu huu wa ligi ya england kila siku mambo yanakuwa magumu,
Ukibisha kamuulize Mourihno atakwambia
Sasa huyo Ozil sio wakubebea kombe la ligi kwa sasa.
Yuko wapi Giroud ambae pia aliwahi kuwa na magori mengi kuzid mastreker wengine arsenal kwa msimu fulani.
Haha unafurahisha sana Ushindi mwingi wenu ulikua kwenye mikono ya huyo kiumbe ukitaka kuamin leta takwimu ya assist zake last season
Match ya leo nini hamu nayo sana.Ok mkuu naheshimua mawazo yako lkn me OZIL kwangu bado ni dhahabu