Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

wewe jitoe fahamu lakini uzuri wake mimi najua kuwa una akili timamu kabisa ila ukweli ni kwamba timu yako mara ya mwisho kuchukua ligi ni ile karne ambayo vita ya kwanza ya dunia ilipiganwa sasa sijui wewe ulikuwepo ama nini.......................na suala la EPL wewe hujawahi beba na ushahidi upo
Porojo nyingi mkuu

Msimu wenu wa kujiua umefika
Wengi wenu washakufa nyinyi mmebaki mnashangilia hamshabikii
 
na
Haha
Unafurahisha fact ni kwamba hutoweza kuifunga LIVERPOOL kwa sasa

2009 mpk leo umri wa mtoto kabisa ambae yupo drs la 4


Man u ni giant club kama ilivyo Liverpool na ndio maana nazihusisha
Maana ukitaka kushinda UEFA lazima uwe na uwezo wa kustahimil pressure ya hizi giant club vinginevyo utakuwa unatusuliwa tu kama wanavyo kufanyagaa
ukitaka kushinda EPL unatakiwa kuwa na sifa gani mkuu?

hahahhahahah kwahiyo mwaka wa wewe kuchukua ligi msimu wa 1989 mpaka leo huyo mtoto ana miaka mingapi? kweli nyani haoni kundule.................

kwahiyo kwahiyo hoja yako NOTTINGHAM FORREST nayo ni giant club?

jibu maswali hayo kiufasaha naamini na najua kuwa unajielewa so hutoyakimbia hayo maswali
 
Tukaishia kula kipigo na spurs.
Match ya kwanza tunampiga spur 4-2 ilikua raha sana
But siwez kumlaumu Ozil kwan sikuangalia match.

Wew anza leo kumchunguza huyo ozil maana kwa sasa ligi ni ngumu hatar.
Alicheza kipind cha pili
 
na

ukitaka kushinda EPL unatakiwa kuwa na sifa gani mkuu?

hahahhahahah kwahiyo mwaka wa wewe kuchukua ligi msimu wa 1989 mpaka leo huyo mtoto ana miaka mingapi? kweli nyani haoni kundule.................

kwahiyo kwahiyo hoja yako NOTTINGHAM FORREST nayo ni giant club?

jibu maswali hayo kiufasaha naamini na najua kuwa unajielewa so hutoyakimbia hayo maswali
Unafurahisha ulicho kiuliza unakifahamu sema umekaza ubongo


Nijibu hil swal
-taja giant clubs kutoka ktk ligi ya Epl?

Naamini ubishani kat yangu na ww utakua umeishaa
Liver hata isipo chukua kombe miaka 1000 huwez kaa mbele yake kiheshima

Wazungu wanasem"OLD IS GOLD"
 
Porojo nyingi mkuu

Msimu wenu wa kujiua umefika
Wengi wenu washakufa nyinyi mmebaki mnashangilia hamshabikii
Liverpool Trophies:
League Tittles: 18
First Division League Champions: 18 (1900/01, 1905/06, 1921/22, 1922/23, 1946/47, 1963/64, 1965/66, 1972/73, 1975/76, 1976/77, 1978/79, 1979/80, 1981/82, 1982/83, 1983/84, 1985/86, 1987/88, 1989/90)


sema mwenyewe usije sema nawaonea hiyo ilikuwa ni karne ya ngapi mkuu?
 
Tena kumbe wew shabik wa Liverpool.

Sis tunataka jitu korofi kama Gerrard.
Au mamidle wenu hao walivo kuntu kama nn.

Sis watu wa maana kwa sasa ni Torreira na Guendouzi. Kidogo mtatukoma na nyie liverpool
Alicheza kipind cha pili
 
Unafurahisha ulicho kiuliza unakifahamu sema umekaza ubongo


Nijibu hil swal
-taja giant clubs kutoka ktk ligi ya Epl?

Naamini ubishani kat yangu na ww utakua umeishaa
Liver hata isipo chukua kombe miaka 1000 huwez kaa mbele yake kiheshima

Wazungu wanasem"OLD IS GOLD"
tatizo lenu ni hilo tu...yaani mkiulizwa maswali mnayacancel na kujitungia maswali mnayoyaona yatawapa faraja na kujifariji haya nishakuelewa naona hii battle huiwezi .....hahahahah eti old is gold ina maana NOTTINGHAM FORREST ni bora kuliko MAN CITY? please usigeuze hili swali jibu kama lilivyo
 
Tena kumbe wew shabik wa Liverpool.

Sis tunataka jitu korofi kama Gerrard.
Au mamidle wenu hao walivo kuntu kama nn.

Sis watu wa maana kwa sasa ni Torreira na Guendouzi. Kidogo mtatukoma na nyie liverpool
Sawa mkuu

Nangoja trh 29 kwa hamu hapa nimalize tofauti zetu na nyinyi pale ANFIELD
 
Hujui
Maana ya muda sahihi ww

Kwa sasa huwez muweka notten top kwa sababu kazikwa miaka mingi lkn histor yake haiwez potea kizembe na zikitajwa timu zenye troph nayo pia hutajwa so heshima yake haiwez achwa et kisa kadrop

ARSENAL kama vidume muingie hata big 4 miaka hii ya karibuni

Ntakufaaa mkiingia ntakufaaa
EUROPA is ur right place for now
UEFA ukipeleka kima TORORI mtaenda kuabikaa tu
tatizo lenu ni hilo tu...yaani mkiulizwa maswali mnayacancel na kujitungia maswali mnayoyaona yatawapa faraja na kujifariji haya nishakuelewa naona hii battle huiwezi .....hahahahah eti old is gold ina maana NOTTINGHAM FORREST ni bora kuliko MAN CITY? please usigeuze hili swali jibu kama lilivyo
 
Sawa mkuu

Nangoja trh 29 kwa hamu hapa nimalize tofauti zetu na nyinyi pale ANFIELD
kwani game ya kwanza pale emirates hamkuona tofauti ilyopo ngoja nikuvutie takwimu za game then kama mwelewa utaiona tofauti iliyopo kati yenu na sisi
Man of the match - Lucas Torreira (Arsenal)
1545480982429.gif

Lucas Torreira gained possession 10 times, as well as winning 80% of his duels and having a pass completion rate of 89.1%
 
Binafsi hik kikosi naona ushindi mkubwa, kuwe tu na ushirikiano mzuri katika ya elnen, xhaka na guendouz
#COYG
Screenshot_20181222-151841.jpg
 
Mesut Ozil has been tipped to join Paris Saint-Germain in the new year, with Adrien Rabiot heading to Arsenal in a swap deal.
Despite committing his future to the north London outfit at the beginning of 2018, speculation that the former Germany international could be on his way out next month has increased this week.
Left out of the matchday squad to face Tottenham Hotspur in the Carabao Cup for 'tactical reasons' many supporters took Unai Emery's shock decision as a massive hint that Ozil is no longer wanted at the club.
As a result, potential destinations for the 30-year-old have been touted in the build up to Saturday's clash against Burnley.
 
kwani game ya kwanza pale emirates hamkuona tofauti ilyopo ngoja nikuvutie takwimu za game then kama mwelewa utaiona tofauti iliyopo kati yenu na sisi
Man of the match - Lucas Torreira (Arsenal)
View attachment 974507
Lucas Torreira gained possession 10 times, as well as winning 80% of his duels and having a pass completion rate of 89.1%
Haha man city kwa liverpool huwa anatuzid vingi mwisho wa siku wanadondokea4,3,2 juzi aliambulia draw

Ile game fab alikua hajawa mzuri kwenye kukabidhiwa majukumu thus y akaflop ila kwa sasa anaweza akapewa majukumu na akayatekeleza
Nakukumbusha ile game nyinyi ndio mlitafuta draw sio sisi thus LACAZE alipofunga lile goli mlishangilia sanaaa

Sasa ngoja uone Anfield ulivyo uwanja mchachu kwa tim yyt ile 29 december is coming soon
 
Hujui
Maana ya muda sahihi ww

Kwa sasa huwez muweka notten top kwa sababu kazikwa miaka mingi lkn histor yake haiwez potea kizembe na zikitajwa timu zenye troph nayo pia hutajwa so heshima yake haiwez achwa et kisa kadrop

ARSENAL kama vidume muingie hata big 4 miaka hii ya karibuni

Ntakufaaa mkiingia ntakufaaa
EUROPA is ur right place for now
UEFA ukipeleka kima TORORI mtaenda kuabikaa tu
mbona hueleweki wewe...unamangamanga tu hapa sasa hivi unakimbilia katika muda sahihi kwahiyo kipindi kile liverpool alivyokuwa anaitafuta big4 kwa tochi alikuwa sio giant club?ongea ueleweke ,hebu tuambie muda upi ni sahihi mtu kuitwa giant club na muda upi sio sahihi?
 
Kwan hujui def ya timu mpk iitwe giant?? Kma hujui siwez bishana na ww tena
mbona hueleweki wewe...unamangamanga tu hapa sasa hivi unakimbilia katika muda sahihi kwahiyo kipindi kile liverpool alivyokuwa anaitafuta big4 kwa tochi alikuwa sio giant club?ongea ueleweke ,hebu tuambie muda upi ni sahihi mtu kuitwa giant club na muda upi sio sahihi?
 
mbona hueleweki wewe...unamangamanga tu hapa sasa hivi unakimbilia katika muda sahihi kwahiyo kipindi kile liverpool alivyokuwa anaitafuta big4 kwa tochi alikuwa sio giant club?ongea ueleweke ,hebu tuambie muda upi ni sahihi mtu kuitwa giant club na muda upi sio sahihi?
Eleza mpk timu iwe giant inatakiwa iweje kwanza afuu afuu linganisha na huyo notten ulie mtaja kama vinaendana
 
Back
Top Bottom