BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,902
- 11,705
The GONO sio sawa na SEVILLA.Mtaanza nyinyi Kuntoa klopp ,maana toka aje hadi msimu huu atatoka kapa,
Unai ndio kwanza msimu wa kwanza, na Top 4 timu itaingia ,
Na silverware moja wapo atabeba ,maana ana kismati cha mataji,
Si unajua amehusika kwenye kumletea klopp njaa ya mataji, akiwa sevilla
The GONO mna hali mbaya akiumia mchezaji mmoja timu yote chini
2-3
2-0
USIJISAHAULISHE vipigo viwili mfuatano hivyo

