Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naskia baada ya unbeaten run saiv mmeanza beaten Run...
Na pia pengo la Mourinho linaonekana Asenyege 😁😁😁
 
Habari za saizi wakuu!!Msiba utakua wapi mimi kama rafiki wa marehemu nitatoa debe moja la mchele na mafuta lita 10 kwa maana marehemu pamoja na kua na gubu na kimbelefront niliishi nae vizuri

Son na Dele tumekshawakatia RB namba 09/5281HG central police popote ukiwaona nitag kuna donge nono kwa ajili yako

Ahsanteni
 
Msiwe na wasiwasi wana gunners Arsenal inajiandaa na mechi ya jumamosi Burnley wanakuja Emirates.
 
Hivi Arsenal walimfanya nini Yesu mbona ikifika Christmas wanaanza kufungwa


Uchovu.

Ni EFL cup hivyo hawakuwa wakicheza kwa kutumia nguvu sana.

Lakini mechi ya jana imechezwa zaidi kimbinu kwa kuangalia mechi ya jumamosi na Burnley.

Arsenal wanafahamu wapo 8 points clear kwa Manchester United hivyo wanafikiria kukaa hapohapo nafasi ya tano lakini lengo ni kwenda nafasi ya nne.
 
timu inahitaji usajili hasa wa winga zote mbili na kiungo. And believe me Arsenal ndio timu kubwa ya mwisho pale England kwa Ubora wa kikosi na wacha nikutajie kikosi kama hiki cha Tottenham




Lorris(GK)

Trippier Alderweireld Vertongen Rose

Winks Dier


Sissoko Eriksen Moura

Kane
 
Tuyapate kutoka kwa wenger sasa


Wenger: "I think Emery is doing an excellent job. With the recruits he has brought in, it has brought a form of defensive stability & so I think everything is going well"


Wenger: "The team is in good hands and I always said that. A lot of people thought when I left the club that the team would need to completely rebuild – I never thought that. I am very happy that these people have been proven wrong" #Arsenal
 
Back
Top Bottom