Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kumchezesha xaka beki sio kitu kizuri kabisa
Kuna analyst mmoja alisema ni bora kumchezesha mchezaji asiyekuwa na uzoefu kwenya nafasi yake ambayo ni natural kuliko kumchezesha mchezaji mwenye uzoefu kwenye nafasi ambayo sio yake
 
Leo ndio nimejiridhisha kuwa aArsenal tuna takataka za kutosha eg Maitland, Iwobi,Ramsey, hata xhaka hawa I impress
 
Back
Top Bottom