Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Fact
Screenshot_2018-12-19-17-24-55.jpeg
 
Na game ya leo tunaharibu coz nimeshakiona kikosi, nina waswas nae huyu kocha, Xhaha huwezi kumchezesha beki
 
It's true huwezi kumchezesha Granit pale mechi iiyopita alifanya hovyo sana bora Elneny
Ni kweli, lkn jumapil tuna burney , EPL, hivo bora hao ambao hawana fitness awaweke bench,

But namuamin UNAI , akiona haifanyi kazi hiyo back line, tarajia 2nd half kumuona xhaka kati, na neny akiingia kama CB
 
Ni kweli, lkn jumapil tuna burney , EPL, hivo bora hao ambao hawana fitness awaweke bench,

But namuamin UNAI , akiona haifanyi kazi hiyo back line, tarajia 2nd half kumuona xhaka kati, na neny akiingia kama CB
That's too late decision hii ni robo Mkuu tunamechi moja tu tugombanie kombe
 
Hiyo ilishabuma zamani, hakuna match yenye hiyo combo tumecheza vizuri. Hata match ya So'ton mimi naona tatizo lilikuwa hapo. Mabeki ni kafara tu
Ni kweli, but ukosefu wa mabeki nao ulichangia,

Kama hakutaonekana impact 1st half, bas 2nd half atafanya mabadiliko,
 
That's too late decision hii ni robo Mkuu tunamechi moja tu tugombanie kombe
Mimi huwa napenda kumuachia kocha afanye kazi yake, coz yy ndio anashinda na wachezaji, anajua kuhusu fitness yao, kwa mech husika ,

Iwapo hakutakuwa na impact , basi unai sio mzito kufanya maamuzi
 
Back
Top Bottom