Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Duh! Afadhali...... Nadhani vijana wana uchovu. Waliwekeza nguvu sana ktk game Mbili hizi zilizopita....... Ila na majeruhi ndo wanazidi kuongezeka hope mustafi hatakaa nje kwa muda mrefu sana

COYG!
 
Torreira
IMG_201812342_083449.jpeg
 
Guendouzi atulie aache papara, Iwobi ameshuka kiwango mechi ya pili sasa.

Wanatoka majeruhi, Wengine wanaenda majeruhi. January tufanye kazi ya ziada
 
Tunarudi kwenye nafasi ya tano, nikidhani mancity angemtandika Chelsea ili hata spurs akishinda tuwe 4th...
 
Back
Top Bottom