Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Club also willing to listen to offers for Elneny and Mkhitayan. Fornals in the mix as a replacement for the former. Emery also keen to get left back position sorted, as NM is getting old and he does not believe SD fits his system. #AFC
 
Arsenal are preparing up a bid worth up to 43 million for Nicolas Pepe(initial 27 mil + addons) with Emery and Mislintat seeing him as the solution to Arsenal’s winger problem. #AFC
 
Pamoja na mchezo mbovu, sio mbaya nafasi ya asernal tutaichukua kabla hatujamkabidhi nafasi yake ya sita, kuelekea kileleni
 
Pamoja na mchezo mbovu, sio mbaya nafasi ya asernal tutaichukua kabla hatujamkabidhi nafasi yake ya sita, kuelekea kileleni
Hahhahahahahah.. ndoto za abunuasi.... kila siku ni draw na kutiwa tu.. mpaka morinyo afukuzwe... hahahahaha. Na bado. Mwaka huu mtakonda
 
Man u hamuwezi kuwa mbele ya arsenal katu. Arsenal siyo mbovu ss tunazo pointi 6 kutoka kwa Chelsea na toten sasa watasaliaje mbele yetu. Dirisha dogo tunarekebisha makosa tuliyoyaona tutarudi kivingine. Man ilishakufa muda hamtaki tu kuweka msiba kwa7bu mliwaaminisha watu kuwa ni mungu sasa kafa dadeki.
 
Kuna kijitu kifuuupii kinaitwa Ryan Fraser kitawageuza sana watu leo kama chapati za mama hadijaa
 
The Last Time mnakuja Vitality stadium mnakumbuka ilkuaje
IMG_1489.JPG
.
 
Unaongea wakati hatuna foward wanafunga mabeki. Haaaahaaaaaahaaaaa

Mkuu bournemouth sio watu wazuri kabisa espicially wakiwa kwao leo unabanduka next match unabanduka pia na spurs af next man utd anakusubiri Guest house mbona utazaa triplets tuu mwaka huu
 
Back
Top Bottom