Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Now! Timu inacheza safi kabisa! Wachezaji wameelewana mno!
Big up Unai.
 
Timu inayosafiri kuelekea Ureno
IMG-20181024-WA0070.jpeg
 
Kuna ile pasi ozil alipiga kama anaikataa hivi af ghafla ikaenda kushoto akaja kuiomba tena kama anaisusa flani ikamrudia aubama akafanya kweli ebana acha kabisa niliruka ikabidi wife acheke
Hahaaaa! Safi sana Mkuu! Kwa kweli ni burdani murua! Hii timu naikubali mnooo
 
Wachezaji washafika lisbon, wameanza mazoezi mepesi,hakuna kulala kila mechi ni FAINAL
IMG-20181024-WA0074.jpeg
 
juzi kati hapo Guendouzi alikuwa anafanya interview na Allediejjier yule mfaransa mchezaji wa zamani wa arsenal...

Guendozi akamwambia the way kocha anavotufundisha kwa videos na kufanya practice uwanjani nikishindwa kufika level ya juu basi ntajilaumu mwenyewe...sitakuwa na wa kumlaumu..
FB_IMG_1540245533133.jpeg
 
Kufundisha timu yenye Mastar ni ngumu sana,,,Ndio maana Unai saiz Ana enjoy tmu ina shine kwakuwa anachoelekeza ndo vijana wanafanya,,,hamna anayejiona yuko juu ya mwenzake,,,kila mmoja anakaza,,,Ozil ndo star lakn siku hz unamuona anarud nyuma anakaba fresh kusaidia tmu,,,,,ila naichek PSG hapo naona kabsa challenges alizokuwa anapitia Emery ila watu walikuwa hawazioni,,,waweza kuta alikuwa anawaelekez hv,,,kufika ndani Neymar anafanya anachojisikia halaf huwez mwambia unabaki unamuacha,,,maana PSG neymar ndo anawapotezea mda hawajui tu,,,

Piga Kazi Unai Kwa Vijana wenye nidhamu,,,
IMG-20181021-WA0015.jpeg
 
Back
Top Bottom