Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Target ni kushinda game 30 toka time zote zilizo nnje ya top 5 na bahati Mbaya fulham wako kwenye hiyo bracket wataponaje sasa.

Pia tutapiga mkubwa mmoja season hii. Na sare kadhaa za hao wakubwa kisha mengine tutaongea mwisho wa msimu.

90 point kutoka kwa hao 15 na chavhe kutoka kwa wakubwa.

Epl inaweza angukia home kama utani
Ndoto ya asubuhi hii. Ila kila mmoja anayo haki ya kutoa maoni yake haata yakiwa fake Kama ya wale majamaa wa majogoo.

Game tano epl bila kufungwa tayari umeshatabiri kuchukua Epl.
 
Hivi Kuna anayeweza Kunipa Concrete reason Kwanini Kocha wenu Katika FXI Kamueka Juu Aubamyang ?
 
Back
Top Bottom