jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 10,978
- 10,613
Our line up against Qarabag on Europa league naona Unai kamueka Kolasinac wingaView attachment 886760


Startimes vp au dstv wadau?Kick off
Qarabag—Arsenal
COYG....![]()
️Socratis ameshatupia huko tunaongoza mojaNaona 'The Tank' is back,ila anajua kutupia mitungi uyo mtu inatakiwa Welbeck atulie tu aletewe vitu.
Startimes vp au dstv wadau?
Startimes wanaonesha piaStartimes vp au dstv wadau?
️
️Binafsi naomba hatua inayofuata tupangwe na nyinyi ili tuwatoe kelele zipungue.Naona mmembahatisha mnyonge.
Msiombe mje kukutana nasi baada ya hatua hii ya makundi.