Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Charmakh atafaa(binafsi namuhitaji sana Emirates).......Mwaka huu naona itakuwa tofauti...AW keshakoromewa,hana ujanja itabidi asajili tu......Na nyie itabidi msajili mwaka huu sasa...Muachane na akina Scholes,G.Neville,Ferdinand et al.........Mwaka huu tutasajili vizuri mkuu....subiri uone

kaambiwa harekebishe beki kule nyuma.chamakh bonge la mchezaji mkuu tena ata fit direct.huyu dogo na van persie pale mbele ni mauaji tu.

mie nataka sana kipa aletwe mpya na beki pale tunahitaji pia.


issue ya fabregas tutaona inaendeleaje manake inasemekana walimlipa pound mil 3 hili asiondoke summer .

tatizo la yaya toure african cup of nations ikifika tunampoteza yeye na Song ngoma inaanza kuwa ngumu upyaa na Wenger anajua hilo.

kama Melo(juventus) yuko intrested ni powa sana pale kati.
 
Charmakh atafaa(binafsi namuhitaji sana Emirates).......Mwaka huu naona itakuwa tofauti...AW keshakoromewa,hana ujanja itabidi asajili tu......Na nyie itabidi msajili mwaka huu sasa...Muachane na akina Scholes,G.Neville,Ferdinand et al.........Mwaka huu tutasajili vizuri mkuu....subiri uone

Off course tunahitaji one clasic attacking midfielder na striker wa ukweli, hao wazee hatuwafukuzi hadi wastaafu wenyewe
Mnatakiwa muwe na wachezaji wenye nguvu, huyo Chamakh nyoronyoro tu
 
Wenger atasajili vizuri mwaka huu mkuu.....Subiri utaona

fanyeni vyote ila msimuuze FABRIGAS......Yaya Toure hawezi kum-replace fab,YT ni another version ya DIABY just too slow for EPL,though YT got more experience on big games
 
Kila msimu mnasajili tatizo usajili wenyewe wa kina Silvestre,Campbell,Chamack hawatawafaa .Kuna wachezaji wa Kingereza kama Robert Green,Scott Parker,Calton Cole,Mathew Upson,Gary Cahill hao wote

sylvestre na campbell walikuwa fill up baada ya majeruhi.sylvestre hakuwa na nafasi hata kidogo sema injury zilikuwa nyingi kuanzia clichy.giggs mpaka traore.mchango wa campbell mkubwa sana no regret.huyo chamakh mashine na kwa vile wewe unapenda uongo na kutenga ukweli ndio maana ukashindwa kumpa credit Wenger kwa kumsajili Varmelen.

season imeaisha mkuu toa maelezo kama mwana michezo majungu hayana haja.

kwenye list yako ukitoa robert green hao wengine wote vifaa na nawakubali na kuna wawili hapo wenger alionesha intrest kwao.
 
Off course tunahitaji one clasic attacking midfielder na striker wa ukweli, hao wazee hatuwafukuzi hadi wastaafu wenyewe
Mnatakiwa muwe na wachezaji wenye nguvu, huyo Chamakh nyoronyoro tu

Charmakh nimemuona babu.....Ni mmaliziaji mzuri sana pale G.Bordeaux.........na kafunga magoli mengi tu League one...Pia Berbatoff muuzeni...hawafai
 
fanyeni vyote ila msimuuze FABRIGAS......Yaya Toure hawezi kum-replace fab,YT ni another version ya DIABY just too slow for EPL,though YT got more experience on big games

YT is better than Diaby...ni Vieira like na ana nguvu as compared to Diaby...Fabregas akitaka kuondoka hatutamzuia babu....tutamuuza tu
 
Charmakh nimemuona babu.....Ni mmaliziaji mzuri sana pale G.Bordeaux.........na kafunga magoli mengi tu League one...Pia Berbatoff muuzeni...hawafai

Mheshimiwa tatizo ni kwamba wachezaji wengi wanaofanya vizuri France wakija England wanapata tabu ,mfano Diouf, Cisse alikuwa top scorer misimu 2 ni bora kutafuta hapo England wachezaji ambao wameshaizoea Premier League na ni bei rahisi, then nafikiri umesikia FA wanataka kuweka sheria mpya kila timu lazima iwe na wachezaji wa Kiingereza
 
Mheshimiwa tatizo ni kwamba wachezaji wengi wanaofanya vizuri France wakija England wanapata tabu ,mfano Diouf, Cisse alikuwa top scorer misimu 2 ni bora kutafuta hapo England wachezaji ambao wameshaizoea Premier League na ni bei rahisi, then nafikiri umesikia FA wanataka kuweka sheria mpya kila timu lazima iwe na wachezaji wa Kiingereza

Ni kweli.........nina uhakika Charmakh will do better at Emirates
 
sylvestre na campbell walikuwa fill up baada ya majeruhi.sylvestre hakuwa na nafasi hata kidogo sema injury zilikuwa nyingi kuanzia clichy.giggs mpaka traore.mchango wa campbell mkubwa sana no regret.huyo chamakh mashine na kwa vile wewe unapenda uongo na kutenga ukweli ndio maana ukashindwa kumpa credit Wenger kwa kumsajili Varmelen.

season imeaisha mkuu toa maelezo kama mwana michezo majungu hayana haja.

kwenye list yako ukitoa robert green hao wengine wote vifaa na nawakubali na kuna wawili hapo wenger alionesha intrest kwao.

Ndio maana sijamtaja Varmelein nimetaja Silvestre,Campbell unaseama nina majungu then list niliyotoa unaikubali kazi ipo?
 
kaambiwa harekebishe beki kule nyuma.chamakh bonge la mchezaji mkuu tena ata fit direct.huyu dogo na van persie pale mbele ni mauaji tu.

mie nataka sana kipa aletwe mpya na beki pale tunahitaji pia.


issue ya fabregas tutaona inaendeleaje manake inasemekana walimlipa pound mil 3 hili asiondoke summer .

tatizo la yaya toure african cup of nations ikifika tunampoteza yeye na Song ngoma inaanza kuwa ngumu upyaa na Wenger anajua hilo.

kama Melo(juventus) yuko intrested ni powa sana pale kati.

Ningependa kuona Vitto Manone akipandishwa kuwa kipa namba moja
 
Ndio maana sijamtaja Varmelein nimetaja Silvestre,Campbell unaseama nina majungu then list niliyotoa unaikubali kazi ipo?

list niliyokubali ni wakina (mathew upson.gary cahill,parker kwamba ni wachezaji wazuri.ndio maana nakwambia kwenye ukweli mimi huwa si bishi mkuu.

statements yako ulilenga kwamba wenger ana sajili wachezaji wabovu na hao wawili sylvestre fill up ambayo ilikuwa haina nafasi kama injury list yetu haikuwa deep kiasi kilichofika msimu huu,campbell kachukuliwa kwa emergency na ndio maana alipewa contract mpaka mwisho wa msimu na katusaidia kuliko tulivyotegemea.
 
Wenger ana matatizo binafsi saa nyingine,huyu fabianski na almunia kuwaachia tu aje kipa mwingine (anamtolea macho joe hart) na mannone hawe namba mbili .

Na pia ningependa kuona tukiapata Kocha mwingine AW aondoke zake kule....hatufai kabisa
 
Charmakh nimemuona babu.....Ni mmaliziaji mzuri sana pale G.Bordeaux.........na kafunga magoli mengi tu League one...Pia Berbatoff muuzeni...hawafai

Kwa magoli yake 10 kwenye ligue ya Ufaransa, na ukizingatia ni wa bure naona atawafaa sana.



Rank Player Team Goals
1 Mamadou Niang Marseille 17
2 Kevin Gameiro Lorient 16
3 Anderson Luiz de Carvalho Nene AS Monaco 14
Lisandro López Lyon 14
Mevlut Erding PSG 14
Ireneusz Jelen AJ Auxerre 14
7 Pierre-Alain Frau Lille 13
Asamoah Stade Rennes 13
Yohan Cabaye Lille 13
Loïc Remy Nice 13
Gervinho Lille 13
12 Victor Hugo Montano Montpellier 11
13 Marouane Chamakh Bordeaux 10
Michel Fernandes Bastos Lyon 10
Youssouf Hadji AS Nancy 10
Sylvain Marveaux Stade Rennes 10
Danijel Ljuboja Grenoble 10
18 Souleymane Camara Montpellier 9
Wendel Bordeaux 9
20 Anthony Le Tallec Le Mans 8
Park Chu-Young AS Monaco 8
Toifilou Maoulida Lens 8
André-Pierre Gignac Toulouse 8
Bafetimbi Gomis Lyon 8
Marama Vahirua Lorient 8
Issiar Dia AS Nancy 8
Brandao Marseille 8
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom