Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal XI: Petr Cech, M. Özil, Nacho Monreal, Sokratis, Aubameyang, Ramsey, Lacazette, Mustafi, G. Xhaka, Bellerín, M. Guendouzi

Subs: S. Lichtsteiner, Mkhitaryan, D. Welbeck, B. Leno, M.Elneny, L. Torreira, Holding
 
Our starting XI
IMG_8772.JPG

Last time tumeenda St. James' Park tulipigwa 2-1 ulikua ule mzimu wa kutoshinda game za ugenini chini ya AW,nakumbuka pamoja na kumiliki ile game ila tulikalishwa yule dogo Ayoze Perez alikua mwiba sana kwetu alipasia kamba 1 na assist goli la 2 kama sikosei.
Bado Unai hataki kumuamini Leno na Torreira ingawa Cech na Xhaka wanafanya makosa mengi sana yanayotugharimu.
All the best timu yangu tupeni furaha ya w'end kwa ushindi wa ugenini.
 
Wakuu kiaje?

Moja kwa moja tunakwenda uwanja wa Newcastle United uitwao St James Park.

Team news:

Newcastle XI: Kipa Dubravka, Yedlin, Lascelles, Fernandez, Dummett, Ritchie, Hayden, Diame, Murphy, Perez, Joselu

Bench: Clark, Shelvey, Rondon, Muto, Kenedy, Manquillo, Darlow

Arsenal XI: Cech, Bellerin, Sokratis, Mustafi, Monreal, Ramsey, Guendouzi, Xhaka, Lacazette, Aubameyang, Ozil

Bench: Elneny, Mkhitaryan, Torreira, Lichtsteiner, Holding, Leno, Welbeck

Mwamuzi wa mchezo anaitwa Lee Probert kutoka wilaya ya Wiltshire.

Kwa kweli hatutakiwi kuacha pengo kubwa na leo tukishinda bado tutakuwa kwenye nafasi nzuri.

Newcastle wanashika nafasi ya 18 na bado hawajashinda game lolote.

Hivyo Arsenal watch out!
 
Newcastle wataanza game huku mchezaji wao mahiri wa kiungo Njonjo Shelvey akiwa bench.

Mchezaji machachari wa pembeni Matt Ritchie ambae nae alikuwa majeruhi anarudi pembeni kulia kupambana na Nacho Monreal.
 
Nashindwa kuelewa kwa nini Leno na Toreira wananzia bench.
Wakuu kiaje?

Moja kwa moja tunakwenda uwanja wa Newcastle United uitwao St James Park.

Team news:

Newcastle XI: Kipa Dubravka, Yedlin, Lascelles, Fernandez, Dummett, Ritchie, Hayden, Diame, Murphy, Perez, Joselu

Bench: Clark, Shelvey, Rondon, Muto, Kenedy, Manquillo, Darlow

Arsenal XI: Cech, Bellerin, Sokratis, Mustafi, Monreal, Ramsey, Guendouzi, Xhaka, Lacazette, Aubameyang, Ozil

Bench: Elneny, Mkhitaryan, Torreira, Lichtsteiner, Holding, Leno, Welbeck

Mwamuzi wa mchezo anaitwa Lee Probert kutoka wilaya ya Wiltshire.

Kwa kweli hatutakiwi kuacha pengo kubwa na leo tukishinda bado tutakuwa kwenye nafasi nzuri.

Newcastle wanashika nafasi ya 18 na bado hawajashinda game lolote.

Hivyo Arsenal watch out!
 
Nashindwa kuelewa kwa nini Leno na Toreira wananzia bench.

NI suala la mida tu.

Torreira huwa akiingia kipindi cha pili sasa hivi Arsenal wanamaliza game kwa ushindi.

Nafikiri Leno ndiye kipa namba moja.

Hapo Cech anangojewa afanya ujinga wa mwisho.
 
Kuna watu waliokuwa wanacheka maiti kufa na vinyweleo, mkubwa wa pili kapigwa mechi mbili mfululizo baada ya mechi tutakuwa sawa.
 
Arsenal bado hawajajipanga na wanashambuliwa.

Newcstle wanaonekana wamejiandaa.

Matt Ritchie anamsumbua nacho Monreal upande wa kulia.

Goli 0-0
 
Dakika imekwenda ya 12

Newcastle wamepata kona na imepotea.

0-0
 
Goal!
Xhaka anafunga.
Mpira ulipoanza tu Arsenal wakaelekeza mashambulizi lanogni mwa Newcastle na Xhaka kufunga.

Arsenal 1-0 up
 
1537024130374.png

So far Guendouzi anastahiki kuwa DFwa Arsenal pale inapomhitaji.

Ila bado tunamtaka Torreira aingie.
 
Back
Top Bottom