Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Cech na Xhaka hawatakiwi kabisa kuanza labda uko Carabao sio kwenye ligi.
Ni muda sasa wa Auba ku-roll-up his sleeves kama amepoteza confidence ivi ni vema Unai akamuamini Torreira kwa sasa dogo analeta balance ya team kuliko maelezo.
Possession Cardif 15-85 Arsenal alafu tunashinda 3-2 huu ni aina fulani ya uwendawazimu,bado tunaamini kwenye kumiliki ila hakuna mipango kwenye final 3rd,so far tuna spirit ya kupambana mpaka mwisho katika kutafuta matokeo na pia kuna lil' bit pressing style ambayo Unai ameileta tunashukuru kwa hili.
3 Pts ugenini ni muhimu sana inaleta faraja tunaenda kwenye International break kwa amani tuombe wote warudi bila majeraha....
Kabisa kabisa, hata Ozil naye, kwa kweli Emery kama anataka mabadiliko lazima awa ditch hawa wazembe...
 
Goli la Mo Salah dhidi ya Everton lipo kati ya magoli yanayowania tuzo ya FiFA ya Puskas pia Salah anawania tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume wa FIFA 2018.

Mashabiki wote wa Liverpool na wapenda mpira wa ukweli fuata link hii kisha chagua Mo Salah. Anaejua mpira anastahili

The Best FIFA Football Awards - FIFA.com
IMG_20180903_190805_909.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Goli la Mo Salah dhidi ya Everton lipo kati ya magoli yanayowania tuzo ya FiFA ya Puskas pia Salah anawania tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume wa FIFA 2018.

Mashabiki wote wa Liverpool na wapenda mpira wa ukweli fuata link hii kisha chagua Mo Salah. Anaejua mpira anastahili

The Best FIFA Football Awards - FIFA.comView attachment 855896

Sent using Jamii Forums mobile app

Lile balaa la bicycle kick ya mjomba Bale nayo imo kwenye Puskas award ujue,sipendi unafiki acha nikaunge mkono juhudi za Bale
 
View attachment 848157

Full name: Arsenal Football Club

Nickname(s): The Gunners

Founded: 1 December 1886

League: Premier League

Website: arsenal.com


View attachment 848163
Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch 105m x 68m


View attachment 848363
Owners: Stan Kroenke na Alisher Usmanov

View attachment 848173
Chairman: Sir John Chippendale "Chips" Lindley Keswick

View attachment 848348
Head Coach: Unai Emery​


Arsenal Trophies:
League Tittles: 13

First Division/Premier League Champions: 13 (1930/31, 1932/33, 1933/34, 1934/35, 1937/38, 1947/48, 1952/53, 1970/71, 1988/89, 1990/91, 1997/98, 2001/02, 2003/04)

European Trophies: 1
UEFA Cup Winners': 1 (1993/94)

FA Cup Trophies: 13 (1929/30, 1935/36, 1949/50, 1970/71, 1978/79, 1992/93, 1997/98, 2001/02, 2002/03, 2004/05, 2013/14, 2014/15, 2016/17)

League Cup: 2 (1986/87, 1992/93)

Community Shield: 15
FA Charity Cup/FA Community Shield: 15 (1930, 1931, 1933, 1934, 1938, 1948, 1953, 1991, 1998, 1999, 2002, 2004, 2014, 2015, 2017)

Other Trophies
League Centenary Trophy: 1 (1988)
Inter-Cities Fairs Cup: 1 (1969/70)


View attachment 848415
Arsenal Football Club celebrate as they Crowned The Emirate FA Cup Winners(2017)

Follow this thread for team updates!
 
HR Sports Therapy | Sports Massage & Injury Treatment in Birmingham

HR sports therapy offered all type of injury treatments Sports Therapy, Sports Massage, Instrument Assisted Soft Tissue Mobilisation (IASTM), Cupping Therapy, Medical Acupuncture, Kinesiology taping and Pilates in Birmingham.

HR Sports Therapy can help treat injuries or areas of pain in the body as well as provide sports massages to relieve tension that can accumulate due to work, sport or everyday living.

Whether you are an elite athlete, a gym goer, a tennis enthusiast, a dog walker, a post-natal mother, or simply suffering from aches and pains HR Sports Therapy can help.
To make an appointment please book online or call: 07412 995401
 
Hongereni sana Arsenal
W is W haijalishi imepatikana vipi
Lkn mkicheza na Majogoo mtafungwa easy sana,hamna team pale


Sent using Jamii Forums mobile app
Wee nawe tatizo ushindi mlioupata juzi ule wa taabu sana utadhani kocha mgeni kumbe mwenyeji. Na safari hii mkikutana na arsenal lazima mle kichapo mark my words maana timu ya arsenal inabadilika kila wakati.

Tena nakwambia kakojoe ulale kabisa arsenal ya sasa inatisha.
 
Wee nawe tatizo ushindi mlioupata juzi ule wa taabu sana utadhani kocha mgeni kumbe mwenyeji. Na safari hii mkikutana na arsenal lazima mle kichapo mark my words maana timu ya arsenal inabadilika kila wakati.

Tena nakwambia kakojoe ulale kabisa arsenal ya sasa inatisha.
Hii hii 3-2 na Cardiff au ipo Arsenal ingine?
Hiyo itafungwa 4-0 na Liverpool kiurahisi tu
 
Ukiangalia umri wake na passion yake kwenye football basi natamani akina Hector na Iwobi wangekua na hamu na mpira kama uyu dogo.
Absolutely...
AW aliwalea wacheze mpira wa show tu, wakifungwa poa wakitoka sare shwari, alivyoondoka hiyo mentality imetupwa chooni, na hatutaki irudi tena..
 
Back
Top Bottom