McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Torreira alitolewa jana sababu ya majeruhi kwenye game yao na Mexico,so far sina taarifa sahihi ameumia kwa kiwango gani,nachukia sana hizi International break.
Wengi wanarudi wakiwa majeruhi, mbaya sana hii.Torreira alitolewa jana sababu ya majeruhi kwenye game yao na Mexico,so far sina taarifa sahihi ameumia kwa kiwango gani,nachukia sana hizi International break.
View attachment 861319
Wengi wanarudi wakiwa majeruhi, mbaya sana hii.
Hata mimi niliwasaidia kuwaza, kama sio yeye vile. Au siri ni kufanywa captain??!Ukisikia tu International break basi lazima ujiandae na machela sijui kwa nini BTW umemuona Xhaka alivyo mpuuzi yaani timu ya Taifa amekaza na kaupiga mwingi mpaka nimejiuliza au anatufanyia kusudi
Hata mimi niliwasaidia kuwaza, kama sio yeye vile. Au siri ni kufanywa captain??!
Ozil anaona shida, alizoea kufanya atakayo under AW, just look at his face! Na bado...Tukijifua kumsubiria newcastle wkend hii.View attachment 864321View attachment 864322
Chek alisimamisha mjegeje anawaza nn sijui hapoOzil anaona shida, alizoea kufanya atakayo under AW, just look at his face! Na bado...
Hahahaa mpuuzi huyu atakuwa aliacha dem ghetoChek alisimamisha mjegeje anawaza nn sijui hapo

Hapo ndio anapokera huyu jamaa yan kakomaa na cech ambae maboko njenje na huyu sokratic nae mzito sanaIla Unai aache uoga game hii amuanzishe huyu dogo Leno tumuone.View attachment 864787View attachment 864789View attachment 864790
Sokratis na mustaf ni wazito mnoo mkuu,hivi mavropanos sijui yupo wapi sikuhziHapo ndio anapokera huyu jamaa yan kakomaa na cech ambae maboko njenje na huyu sokratic nae mzito sana
St James' Park
17:00 Hrs
️Shida yenu ni beki na kwenye ushambuliaji hapajakaa vizuriNaona bwana mdogo juhudi zake zinambeba, tungepata kama hawa watano (5) timu yetu ingebadilika sana manake dogo ana spirit kubwa ya kupambana.