Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arse8
IMG-20180818-WA0016.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu walijitabiria mapema huku
Hii timu inakula nyingi
Leo zinafika 5
Wenger tunakukumbuka
Mmejitabiria kabla ya dk 90

E&K
 
You cant beat even legless Chelsea defense ndiyo mcheze na MAJOGOO yenye beki imara kwa sasa duniani?
Lkn jana kawaangusha sana Aube,Mikhi na Ilwobi
Wanakosa mabao ya ku press tu kufunga
Poleni sana lkn ndiyo soka!
Bado unathubutu kusema kama HUYAOGOPI MAJOGOO?
 
Kocha anahitaji muda, hizi mechi mbili tulizocheza bado sio kipimo halisi cha kocha. Natumai mwalimu ameyaona mapungufu ya timu yake kuliko mimi na wewe ambao hatuna taaluma hiyo ya mpira hivyo atayafanyia kazi.
 
Mashabiki wa arsenal mnatakiwa kuwa na subira. Timu haipimwi kwenye friend match. Huyu kocha ni mzuri. Wachezaji wengi hawajui na sasa ndo wamekusanyika anawapima ndiyo maana kila mchezaji amepewa nafasi na amemjua.

Hiki kikosi cha arsenal mwisho wa msimu ndiyo kutakuwa kikosi bora. Mnakuwa na papara kama mashabiki wa Man u.Tunaoelewa mifumo ya makocha tunajua kinachoendelea.
Game hii ya chelsea ni kama ile tu ya man city wachezaji wanatengeneza nafasi nyingi lakin hazitumiki ipasavyo.

Kocha kwa sasa ameshaona viungo wa kuwatumia strong match na wale wa kutumia ktk match za kawaida. Tshaka ni kiungo bora but hana consistency ya kulinda kiwango chake compared na Tolleira na Guendozi ambao wanaonekana ni mwiba wakati wowote.

Chelesea last five game hajachomoka mbele ya arsenal just imagine hata game hii katoka kimiujiza.

Tunaye kocha bora pia tunao wachezaji bora huwezi kutoa tathmini ya kocha kwa mechi mbili tu ni vigumu mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nifariji wafiwa si vizuri kupita bila kutoa pole poleni jamani hivi marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa gani?
 
Uonavyo wewe ni sahihi but sisi tumeona changes kubwa na itashinda mfululizo mno wala hamtaamini. Kocha hawezi kupanga timu kiholela kwanza bado anazisoma na timu pinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Okay mwache andelee kuzisoma team pinzani. Pindi akimaliza kuzisoma league imeisha yupo nafasi ya kumi. Wenzao walishamaliza topic zote yeye bado ndio anatafuta madesa. Shauri yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kocha anahitaji muda, hizi mechi mbili tulizocheza bado sio kipimo halisi cha kocha. Natumai mwalimu ameyaona mapungufu ya timu yake kuliko mimi na wewe ambao hatuna taaluma hiyo ya mpira hivyo atayafanyia kazi.
Watu wamemponda Iwobi lakini ndiyo kafunga na kutoa assist ya goli lingine japo kakosa magoli mengi akipaisha.
Kocha ndiyo anawajua vema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom