Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Uzuri ni kwamba Chelsea haitegemei foward ili kupata ushindi. Sio nyie akiumia Mo salah basi timu nzima inanywea (refer final uefa) sisi kila mchezaji ni mfungaji mkuu. Asipokufunga Willian atakufunga Hazard. Sasa iv hadi Kante Ngolo anatupia tu kwa iyo mkuu wee September jiandae kisaikolojia.
Usije ukadhani tunategemea mchezaji mmoja kama nyie.
Uzuri hadi beki za Chelsea zinafunga ..Alonso, Rugider, Azp ..

Hamutegemei Striker wakati Kila Siku Munalialia na Morata pamona na Giroud hapa?
 
IMG-20180813-WA0001.jpg
 
Naona wale wachambuzi wa pre-season tayari wameshakimbia
Mkuu tukimbie kufungwa na Man City bingwa mtetezi?
Japo tumefungwa Timu yetu imemprove kiasi chake...
Vp wewe na Leicester uliionaje Timu yako?
 
Mkuu tukimbie kufungwa na Man City bingwa mtetezi?
Japo tumefungwa Timu yetu imemprove kiasi chake...
Vp wewe na Leicester uliionaje Timu yako?
Tuombe uzima wakati wa pre-season wachambuzi walikuwa wengi baada ya kipigo sijaona ule uchambuzi wao

Timu yangu most key players bado hawajagain momentum wengi hawakuwepo pre season(Pogba,Lukaku,Matic,Lingard) but tumeanza vizuri
 
Timu yao kipindi cha karibuni haijafanya usajili mzuri kiburi kitawaisha tu. Eti nao kwa kikosi hiki wanamtambia Liverpool na Man City 😕
Sasa Wewe na kikosi chako bora umebeba kombe gani mkuu?

Mimi nina vikombe viwili ndani ya misimu miwili.

Mwaka huu naongeza vingine ..Wewe endelea kujenga timu.
 
Man City kwani Walikamilika? Hujui Kama ulifungwa na Kikosi B cha Man City?
De Bruyne, Fernandinho, Silva, Otamendi, Sane, Jesus hawa wote Hawakuanza.
Lakini kipindi chapili waliingia Karib wote.

Kama sisi tungekuwa kamili wasingetoboa.

Sisi sio arsenal bwana
 
Sijui ulisahau kwamba Superstrikers(Diego Costa & Didier Drogba) ambao Morata ndio amechukua kijiti kwao ndio Ilikuwa backbone ya nguvu ya kuchukua mataji au

Liverpool wameshaondoa huo utegemezi kwa kumsajili Shaqiri, hiyo Effect kisaikolojia huo inaprevail kwenye timu yeyote kipindi mchezaji nyota wa timu anapokuwa hayupo.

Liverpool wamesajiri viungo bora kabisa pale EPL ambao ni Naby Keita na Fabinho ambao pia wote wanajua kufunga , sasa sahau kipindi kile cha Midfield mbovu ya Milner na Henderson.
Yani Liverpool akiumia Moh Salah, Mane na Firmino au mmojawapo akikosekana tu basi liver lazima ipoteane.
Uo ugonjwa bado upo kwenu sana..
Tupo tutashuhudia mengi.
 
Tuombe uzima wakati wa pre-season wachambuzi walikuwa wengi baada ya kipigo sijaona ule uchambuzi wao

Timu yangu most key players bado hawajagain momentum wengi hawakuwepo pre season(Pogba,Lukaku,Matic,Lingard) but tumeanza vizuri
Unachekesha sana yaani hapo ndio umeitetea timu yako?
 
Back
Top Bottom