Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Golini yupo OCTUPUS sijui upige wapi ufunge
Upande huu ni mnyama Keita na Mane na kule ni Fabihno na Salah
Katikati anazunguka Captain Hendo
Nipeni tu EPL yangu mapema!
we labda uliibe tu zaidi ya hapo ni kulishangaa wenzio wansvyolibeba tu
Hivi kweli kizazi cha Gerald kimeshindwa kutwaa EPL halafu cha salah ndio kitwae
 
we labda uliibe tu zaidi ya hapo ni kulishangaa wenzio wansvyolibeba tu
Hivi kweli kizazi cha Gerald kimeshindwa kutwaa EPL halafu cha salah ndio kitwae


Kizazi Cha Gerrard Kwenye Timu Alikuwa na Striker Owen, Halafu akaja Torres, Halafu Akaja Balloteli, Halafu akaja Benteke.
Lakini Salah ana Strong Force ya Mane na Formino.


Gerrard likuwa na Beki Hypia, Carragher, Skirtel, Kagriakos na Kolo Toure.
Lakini Salah ana VVD

Gerrard Alikuwa na Shit Kipa Reina na Mignolet.
Lakini Salah ana Alisson.

Mabeki Wa Pembeni Ni Manyago wote aliocheza nao Gerrard.
Lakini Salah ana Talented TAA na Robertson .

Viungo aliocheza nao Gerrard walikuwa Wazuri Ni Mascherano na Alonso tu lakini Hakukaa nao Kwa Muda Mrefu.
Bali Salah Ana Wazuri Zaidi Keita na Fabinho wakiwa na Wasaidizi Gini na Milner

Gerrard Kacheza na Makocha Wakawaida Sana.
Salah anacheza na Kocha Mbunifu

Sasa Hapo Timu Tuliyonayo Usijaribu Kuifananisha Na Magarasa aliyochezanayo Gerrard.
 
Kizazi Cha Gerrard Kwenye Timu Alikuwa na Striker Owen, Halafu akaja Torres, Halafu Akaja Balloteli, Halafu akaja Benteke.
Lakini Salah ana Strong Force ya Mane na Formino.


Gerrard likuwa na Beki Hypia, Carragher, Skirtel, Kagriakos na Kolo Toure.
Lakini Salah ana VVD

Gerrard Alikuwa na Shit Kipa Reina na Mignolet.
Lakini Salah ana Alisson.

Mabeki Wa Pembeni Ni Manyago wote aliocheza nao Gerrard.
Lakini Salah ana Talented TAA na Robertson .

Viungo aliocheza nao Gerrard walikuwa Wazuri Ni Mascherano na Alonso tu lakini Hakukaa nao Kwa Muda Mrefu.
Bali Salah Ana Wazuri Zaidi Keita na Fabinho wakiwa na Wasaidizi Gini na Milner

Gerrard Kacheza na Makocha Wakawaida Sana.
Salah anacheza na Kocha Mbunifu

Sasa Hapo Timu Tuliyonayo Usijaribu Kuifananisha Na Magarasa aliyochezanayo Gerrard.
Endelea kujitetea tu
Kwa nini tuandikie mate wakati wino upo
Tukutane mwisho wa msimu
 
Yani kumbe siku ile tumetoka kufungwa na man city kocha Emery kwa hasira kaongea nao wachezaji kawambia mmecheza tofauti na nilivotaka na kesho yake J3 kaomba gemu na crystal palace ambayo ilichezwa pasipo kutolewa taarifa yeyote...duuuh kumbe ndo mana J4 hawakwenda mazoezini
 
Yani kumbe siku ile tumetoka kufungwa na man city kocha Emery kwa hasira kaongea nao wachezaji kawambia mmecheza tofauti na nilivotaka na kesho yake J3 kaomba gemu na crystal palace ambayo ilichezwa pasipo kutolewa taarifa yeyote...duuuh kumbe ndo mana J4 hawakwenda mazoezini
Tupe matokeo
 
[B]LTArsenal™[/B]‏ @[B]ltarsenal[/B] Aug 15
Very interesting lineup. Gives us great balance. Wonder if Emery might consider this. https://twitter.com/uruguayanpacman/status/1029817064645640192 …

arsenal.jpg
 
Sina haja na FA wala Carabao!
Heri nisubiri miaka nichukue kombe kubwa EPL au CL au Yuropa
Wewe kombe lako ni FA huna team ya kucheza hata final ya kombe lolote kubwa
Mwaka huu nachukua ama EPL au CL
CL huwezi kubeba yupo baba ako ramos na Madrid yake
 
Kizazi Cha Gerrard Kwenye Timu Alikuwa na Striker Owen, Halafu akaja Torres, Halafu Akaja Balloteli, Halafu akaja Benteke.
Lakini Salah ana Strong Force ya Mane na Formino.


Gerrard likuwa na Beki Hypia, Carragher, Skirtel, Kagriakos na Kolo Toure.
Lakini Salah ana VVD

Gerrard Alikuwa na Shit Kipa Reina na Mignolet.
Lakini Salah ana Alisson.

Mabeki Wa Pembeni Ni Manyago wote aliocheza nao Gerrard.
Lakini Salah ana Talented TAA na Robertson .

Viungo aliocheza nao Gerrard walikuwa Wazuri Ni Mascherano na Alonso tu lakini Hakukaa nao Kwa Muda Mrefu.
Bali Salah Ana Wazuri Zaidi Keita na Fabinho wakiwa na Wasaidizi Gini na Milner

Gerrard Kacheza na Makocha Wakawaida Sana.
Salah anacheza na Kocha Mbunifu

Sasa Hapo Timu Tuliyonayo Usijaribu Kuifananisha Na Magarasa aliyochezanayo Gerrard.
Yaani keita na fabinho unawafananisha na xabi alonso na javier mascherano katika ubora wao hahahahahahah kweli wewe mpira umeujulia katika play station...........acha matusi
 
1.Leno
2.Monreal
3.bellerin
4.sokratis
5.Mustafa
Viungo
Toleira,Ramsey na tshaka
Mbele
Abu,Lacazate na ozil
 
Back
Top Bottom