leonardo da vinc
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 1,108
- 735
Mzee wa khe khe khe kapotea sanaWacha1 yupo? Rubaman? McDonald?
Mzee wa khe khe khe kapotea sanaWacha1 yupo? Rubaman? McDonald?
Chief hii app/web inaitwaje?Ww ndio hukuangalia
Leta statistics hapa za huyo dogo na Jorginho kwenye hiyo mech
Ukileta nitaamin ww uliangalia mpiraView attachment 826022
Wacha1 yupo? Rubaman? McDonald?
Mijitu mingine imekuja kutuharibia siku huku ...please go where you belong....Sajilini tu jiwekeni fiti kwa vichapo vya kila kona![]()
️Niko hapa tu namcheki unaiMijitu mingine imekuja kutuharibia siku huku ...please go where you belong....

Vya prisizoni?Hivyo vichapo vinakuhusu??????







Poa usilete maudhi lakini kama ya WengerNiko hapa tu namcheki unai![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Acha Historia Tuna Unai subirini maumivuVya prisizoni?
Ligi kuu vipi kila msimu mwanzoni mnakuwa fiti gari ikichanganya vilio kwenda mbele![]()
Sawa mkuu mwaka wenu huuAcha Historia Tuna Unai subirini maumivu
Na zako na serve piaSawa mkuu mwaka wenu huu
Namba tuisavu hii comment yako
Nimerudi na makeke yote nasubiri kwa hamuNipo swahiba,tunasubiria msimu uanze.