Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

czech kacheza vizuri leo ila marking ya defence kwenye set pieces ni hovyoooo kabisaaaaa
 
Hilo tatizo ni la bek za kati,

Sasa mtu anakuja anakwambia cech mbovu
yule dogo wa chelsea kamuabisha belerin leo,naona lichenestein atachukua hiyo namba mbili bellerin keshakuwa model sasa ubishoo tu wa nywele.
 
*Arsenal vs Chelsea*

Possession *61% - 39%*
Shots on goal *3 - 5*
Saves *4 - 3*
Corner kicks *5 - 6*
Offsides *0 - 6*
Fouls *4 - 9*
Red cards *0 - 0*



*SarriBall*??????
 
Kwa mtazamo wangu tunahitaji sana no 5 commanding defender huyu sokratis ni average player bellarin anatakiwa kukua vinginevyo atakuwa out of pecking order Monreal nawish awe kwenye kiwango chake huyu kolasinac ndo atakuwa weaklink ni just squad player he is not good enough pia tunahitaji pacey winger Auba akicheza katikati winger inakuwa inakuwa hamna kitu cech bado ni no 1 Leno awe introduced taratibu kumpunguzia presha pia
 
On positive side:- playing style safi Guendozi,Niles,Emile wanastahili first 11 kocha aanze kuwaamini tu,Iwobi tunamponda lakini anastahili kuwepo kama squad player on his days hasa big games sometimes huwa anafanya vizuri
 
Kumbuka kuna torreira na xhaka , bila kumsahau rambo bado hawajaingia mzigon na pia tupo kwenye majaribio , naiman lazma moto uwake pale
 
Back
Top Bottom