Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

*nacho monreal,granit xhaka na Stephan lichtsteiner na David ospina ,Lucas toreira*.....hawa watakuja mazoezin kwanzia tarehe 30/7/2018 na 1/08/2018

Wanakuja London moja kwa moja hawa .
Leo kuna game SAA 8:30 mchana na PSG


Kuwa tayar kushuhudia mtanange huo.

Kwenye modbro itaonekana,
Startimes inaonekana ukilipia 600,
Arsenal.com inaonekana pia
Na application ya arsenal official itaonyesha live.
 
*nacho monreal,granit xhaka na Stephan lichtsteiner na David ospina ,Lucas toreira*.....hawa watakuja mazoezin kwanzia tarehe 30/7/2018 na 1/08/2018

Wanakuja London moja kwa moja hawa .
Leo kuna game SAA 8:30 mchana na PSG


Kuwa tayar kushuhudia mtanange huo.

Kwenye modbro itaonekana,
Startimes inaonekana ukilipia 600,
Arsenal.com inaonekana pia
Na application ya arsenal official itaonyesha live.
Kwa Dstv?
 
Arsenal tour in Singapore

1532785965973.png


Arsenal Vs PSG

Arsenal: Leno, Bellerin, Sokratis, Mustafi, Kolasinac, Guendouzi, Elneny, Ozil, Mkhitaryan, Iwobi, Aubameyang

Subs: Cech, Martinez, Holding, Chambers, Mavropanos, Maitland-Niles, Ramsey, Nelson, Osei-Tutu, Willock, Nketiah, Perez, Lacazette.

PSG: Buffon, Georgen, Rimane, Nsoki, Mbe Soh, Diarra, Berndede, Rabiot, Toufiqui, Nkunku, Weah

Subs: Trapp, Lo Celso, Sissako, Zagre, Fressange, Cibois, Bahebeck, Postolachi

Arsenal 5 PSG 1

Arsenal leo kwenye kipindi cha pili wamefanya mabadiliko kwenye idara zote na Sokrates amewekwa namba 4 kati ni Elneny na mbele pembeni Ozil na kulia Alex Iwobi..

Kabla ya hapo Eddie Nketiah, Alex Lacazette na Mesut Ozil walifunga magoli ya mwanzo.
 
Last edited:
Arsenal wameshinda leo dhidi ya Psg ilikuwa gemu nzuri nmefurahishwa zaidi na uwezo wa Guendouzi, Bellerin, Mustafi, na karibia wachezaji wetu wote wamecheza vzuri sana hata Lacazette kacheza vzuri sana alivoingia, Auba runs nzuri sana ila hakuwa na bahati leo, lakn kuna mchezaji simwoni vzuri vitu vyake uwanjani sijajua tatizo ni nn kwa Henrick Mkhitaryan gemu ya juzi na leo nimejaribu kuziangalia jinsi mikhi alivocheza gemu ya juzi naweza sema sawa lakn hii ya leo pamoja na kwamba ilikuwa kidogo open lakn ukiachana na ule mpira wa goli la kwanza aliopiga ukaenda kwa Auba then Auba akampa ozil goli...sijaona alichokifanya sana mara nyingi Mkhitaryan leo amekuwa akikutwa nje ya eneo lake akiwaingilia watu maeneo yao leo alkuwa anaenda hadi kwa iwobi pasipo na sababu kuna muda akawa anamwingilia Auba kazi yake tena kuna pasi nzuri ndefy alipewa akafanya alichotakiwa kufanya lakn akashindwa kufunga simlaumu kutofunga ila kusema ukweli alikuwa hayupo kwenye eneo lake na alimwingilia Auba na ozil majukumu kuna muda nikawa nahisi iwobi labda kaja huku kulia labda wamebadilishana lakn haikuwa ivo ailikuwa anawaingilia watu positions kitu ambacho alikifanya pia gemu ya ATM alikuwa anamwingilia Nkentiah kwenye eneo lake ingekuwa ni movements/runs za kaunta attack basi nisingemlaumu lakn muda mwingi amekuwa akidakwa nje ya eneo lake na imemsababishia atumie nguvu nyingi kurudi kukaba huku winga ya kulia kitu ambacho anatakiwa aangalie abalance energy yake...anyway well done Arsenal mpira mtamu we enjoyed next stop Durblin again cheltako tar.1/8
 
Duuuh more than ten years down the lane stress tupu....bado tu. Hapana tujipe moyo bhana....
 
Duuuh more than ten years down the lane stress tupu....bado tu. Hapana tujipe moyo bhana....
Nimeona hizi game 3 za pre season team yetu still haina wapambanaji ngoja tumsubiri torreira anaweza kuleta hiyo hali pia beki hamna sijui kwa nini hata tumemsajili sokratis
 
Unfortunately sijaangalia hata mechi moja nilikuwa likizo kijijini...
Naona sahivi tunaanza kucheza attacking football sideways na backward pass zimepungua ila kuna madogo wanne wanafanya vizuri Niles,Geondozi,nketiah na Smith hasa Smith mzuri sana anacheza ka debruine anazo quality za kuwa star yuko so matured
 
Tusirudie Makosa ya Wenger kuwaamini zaidi very young players

Ni sawa, lakini kocha Emery amemgundua Ainsley-Maitland Niles kuwa ndiyo atakuwa Nzonzi wetu au Yaya Toure au "maestro" Patrick Vieira.

Kama umenisoma huko nyuma nilidokeza kwamba Emery wakati anafanyiwa usaili alikuwa anazo data za wachezaji wote wa Arsenal ana akawa anamchambua mmoja baada ya mwingine.

Matokeo yake tumeyaona na mmoja wa majeruhi wa mpango mpya wa Emery ni Jack Wilshere.

Jack alikuwa ni majeruhi muda wote halafu alikuwa akipoteza sana mipira katikati, hivyo alipopewa mpango mpya akaamua kuhama na West Ham wamemchukua kwa huruma tu ila anafahamu anakwenda kukaa bench.

Tafuta mechi kati ya Arsenal na Manchester City 2016/17 uangalie jinsi Yaya Toure alivyokuwa twasema "tearing apart" sehemu ya kiungo ya Arsenal ndio utaelewa.
 
Ni sawa, lakini kocha Emery amemgundua Ainsley-Maitland Niles kuwa ndiyo atakuwa Nzonzi wetu au Yaya Toure au "maestro" Patrick Vieira.

Kama umenisoma huko nyuma nilidokeza kwamba Emery wakati anafanyiwa usaili alikuwa anazo data za wachezaji wote wa Arsenal ana akawa anamchambua mmoja baada ya mwingine.

Matokeo yake tumeyaona na mmoja wa majeruhi wa mpango mpya wa Emery ni Jack Wilshere.

Jack alikuwa ni majeruhi muda wote halafu alikuwa akipoteza sana mipira katikati, hivyo alipopewa mpango mpya akaamua kuhama na West Ham wamemchukua kwa huruma tu ila anafahamu anakwenda kukaa bench.

Tafuta mechi kati ya Arsenal na Manchester City 2016/17 uangalie jinsi Yaya Toure alivyokuwa twasema "tearing apart" sehemu ya kiungo ya Arsenal ndio utaelewa.
Nakubaliana nawe middle ya torreira na Niles itakuwa vizuri sana
 
Vijana Jana usiku walifika London na leo Torreira xhaka na Lichtsteiner wataungana na wenzao kwenye mazoezi ya jioni..hakutakuwa na mazoezi ya asubui kwasababu ya uchovu wa safari ndefu so jioni mapicha picha ya akina Torreira kama kawa leo...
 
Back
Top Bottom