Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
*nacho monreal,granit xhaka na Stephan lichtsteiner na David ospina ,Lucas toreira*.....hawa watakuja mazoezin kwanzia tarehe 30/7/2018 na 1/08/2018Wanakuja London moja kwa moja hawa .
Leo kuna game SAA 8:30 mchana na PSG
Kuwa tayar kushuhudia mtanange huo.
Kwenye modbro itaonekana,
Startimes inaonekana ukilipia 600,
Arsenal.com inaonekana pia
Na application ya arsenal official itaonyesha live.