Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Arsenal ijayo haitamwacha Hector Bellerin kama beki wa kulia, kushoto kutakuwa na Sead Kolasinac.

Mabeki wa kati atakuwa akianza Calum Chamber na Sokratis na hawa wanaonekana kwenye mazoezi wakicheza pamoja huku

Shkodran Mustafi na "Boss" Laurent Koscielny walikuwa wakifanya makosa mengi yalokuwa yakisababisha ama Arsenal kupoteza ushindi wanapokuwa wakiongoza kwa magoli au kufungwa mapema kabisa.

Lucas Torreira sawa anachukua namba 6 kiungo mkabaji na ndiyo atakuwa Gennaro Gattuso wetu.

Granit Xhaka anaweza kupoteza nafasi yake kutokana na makosa makubwa ambayo yamesababisha Switzerland itolewe kwenye kombe la dunia Arsenal wanaweza kumsajili Andre Gomez wa Barcelona na Xhaka akawa mchezaji wa akiba.

Kwenye mechi zote za WC Xhaka alikuwa kipoteza mipira katikati na hivyo kusababisha timu pinzani kushambulia na hatimae kufunga magoli kirahisi.

Kwenye mechi na Sweden, Switzerland ilikuwa ikimiliki mpira kwa asilimia 67 na Xhaka akapoteza mpira na kusababisha goli kwa Sweden.

Huko mbele inaonekana kupo sawa na Aubameyang ataongoza mashambulizi.

Pia tusubiri mechi za kujipima nguvu tunaona first 11 halisi.
 
Jana kwa mara ya kwanza naona kocha msaidizi anawafundisha Rob holding, Mustafi na Mavi namna ya kukaba na namna ya kumzuia mchezaji hata kama kashatoa pasi lakn bado una uwezo wa kumfanya aliyepewa pasi akakosa mtu wa kumsaidia kumove.
 
IMG_7325.JPG
 
BREAKING NEWS: ARSENAL WANAFANYA MAZUNGUMZO NA SEVILLA KUMSAJILI STEVEN N'ZONZI

4DAD1E7900000578-0-image-a-24_1530570207594.jpg


Arsenal wanafanya mazungumzo na timu ya Sevilla ya Spain kumsajili mhcezaji wa kiungo wa timu hiyo Steven N'Zonzi.

N'Zonzi ambae hivi sasa anashiriki kwenye kampeni ya fainali ya kombe la dunia na timu yake ya taifa ya Ufaransa, juzi alitoa angalizo la kutaka kuhama au transfer request.

N'Zonzi mwenye umri wa miaka 29, ana kipangele kwenye mkataba na Sevila cha kiasi cha pauni milioni 35 lakini anaweza kusajiliwa na Arsenal kwa kiasi cha pauni milioni 29 tu.

Kiungo huyo wa Sevilla na La Liga ni mmoja wa wachezaji walokuwa chini ya meneja wa Arsenal Unai Emery alipokuwa meneja wa Sevilla miaka mitatu ilopita.

N'Zonzi pia amewahi kuchezea timu za Blackburn Rovers na Stoke City za Uingereza kwenye ligi kuu ya nchi hiyo kabla ya kwenda Spain.

Kama mambo yatakwenda jinsi yanavyopangwa, basi wiki ijayo Arsenal watatangaza usajili wa wacheaji wawili wa kiungo Lucas Torreira kutoka Samprodia ya Italy na Steve N'Zonzi kutoka Sevilla kwa pamoja wakigharimu kiasi cha pauni milioni 52.

Uamuzi wa Arsenal kumsajili N'Zonzi ulifikiwa jana jioni baada ya jopo la wataalam kumshuhudia Marouane Fellaini wa timu ya Manchester United na timu ya taifa ya Belgium aking'ara uwanjani kuwalinda mabeki wane "Back Four" wa Belgium na kusaidia timu hiyo kuwafunga miamba ya soka duniani Brazil goli 2-0.

Meneja wa Machester United Jose Mourinho aliagiza Fellaini apewe mkataba mpya ili asaidie timu hiyo kwenye kampeni ya msimu wa 2018/19.

Hivyo uamuzi wa Arsenal kumsajili N'Zonzi ni wa kiufundi zaidi kukabiliana na wahasimu Manchester United na wapinzani wa karibu kama Manchester City, Chelsea na Liverpool.

Kusajiliwa kwa N'Zonzi kunaashiria kuondoka au kukaa benchi kwa Mohamed Elneny na Alex Iwobi ambao ni wachezaji wanaofikiriwa na Emery kupunguzwa.

Pia kunaonekana ni katika kuziba nafasi ya Jack Wilshere ambae jana amesajiliwa na timu ya West Ham.
 
BREAKING NEWS: ARSENAL WANAFANYA MAZUNGUMZO NA SEVILLA KUMSAJILI STEVEN N'ZONZI

4DAD1E7900000578-0-image-a-24_1530570207594.jpg


Arsenal wanafanya mazungumzo na timu ya Sevilla ya Spain kumsajili mhcezaji wa kiungo wa timu hiyo Steven N'Zonzi.

N'Zonzi ambae hivi sasa anashiriki kwenye kampeni ya fainali ya kombe la dunia na timu yake ya taifa ya Ufaransa, juzi alitoa angalizo la kutaka kuhama au transfer request.

N'Zonzi mwenye umri wa miaka 29, ana kipangele kwenye mkataba na Sevila cha kiasi cha pauni milioni 35 lakini anaweza kusajiliwa na Arsenal kwa kiasi cha pauni milioni 29 tu.

Kiungo huyo wa Sevilla na La Liga ni mmoja wa wachezaji walokuwa chini ya meneja wa Arsenal Unai Emery alipokuwa meneja wa Sevilla miaka mitatu ilopita.

N'Zonzi pia amewahi kuchezea timu za Blackburn Rovers na Stoke City za Uingereza kwenye ligi kuu ya nchi hiyo kabla ya kwenda Spain.

Kama mambo yatakwenda jinsi yanavyopangwa, basi wiki ijayo Arsenal watatangaza usajili wa wacheaji wawili wa kiungo Lucas Torreira kutoka Samprodia ya Italy na Steve N'Zonzi kutoka Sevilla kwa pamoja wakigharimu kiasi cha pauni milioni 52.

Uamuzi wa Arsenal kumsajili N'Zonzi ulifikiwa jana jioni baada ya jopo la wataalam kumshuhudia Marouane Fellaini wa timu ya Manchester United na timu ya taifa ya Belgium aking'ara uwanjani kuwalinda mabeki wane "Back Four" wa Belgium na kusaidia timu hiyo kuwafunga miamba ya soka duniani Brazil goli 2-0.

Meneja wa Machester United Jose Mourinho aliagiza Fellaini apewe mkataba mpya ili asaidie timu hiyo kwenye kampeni ya msimu wa 2018/19.

Hivyo uamuzi wa Arsenal kumsajili N'Zonzi ni wa kiufundi zaidi kukabiliana na wahasimu Manchester United na wapinzani wa karibu kama Manchester City, Chelsea na Liverpool.

Kusajiliwa kwa N'Zonzi kunaashiria kuondoka au kukaa benchi kwa Mohamed Elneny na Alex Iwobi ambao ni wachezaji wanaofikiriwa na Emery kupunguzwa.

Pia kunaonekana ni katika kuziba nafasi ya Jack Wilshere ambae jana amesajiliwa na timu ya West Ham.
Tatizo ni umri wake, na epl ni ngumu sana sana

Sijui lakini ngoja tuone
 
Tatizo ni umri wake, na epl ni ngumu sana sana

Sijui lakini ngoja tuone

N'Zonzi anafaa kwa wakti huu yaani miaka miwili mitatu inamfaa.

Pili, meneja Emery amewahi kuwa meneja wake pale Seviila hivyo anamwamini kiungo wake.

Tatu, N'Zonzi ni mrefu hivyo kuleta uhai eneo la kati kwa mipira ya juu.

Nne, N'Zonzi na Sokratis wanasaidia kuleta nidhamu kambini kwai hawa ni matured players.
 
Arsenal wamerudi nyuma hatua 100 na kuamua kumsajili Guendouzi kwa milioni 7

Interest na N'Zonzi imeisha na huenda akasajiiwa na West Ham au Everton.

Hawa wanakuja kuziba nafasi za Jack Wilshere na Santiago Cazorla.

N'Zonzi ilikua kati ya dili ambayo nilitamani itokee tunahitaji wachezaji kama yeye hata kama watacheza kwa misimu miwili ila wangeacha kitu.
 
Arsenal wamerudi nyuma hatua 100 na kuamua kumsajili Guendouzi kwa milioni 7

Interest na N'Zonzi imeisha na huenda akasajiiwa na West Ham au Everton.

Hawa wanakuja kuziba nafasi za Jack Wilshere na Santiago Cazorla.
Imeniuma sana aiseeee saint carzola kutemwa
Na Arsenal ama kweli pata shda umjue major wako
 
Imeniuma sana aiseeee saint carzola kutemwa
Na Arsenal ama kweli pata shda umjue major wako

15A61C3C00000514-0-image-a-50_1516785766385.jpg


santi-cazorla-fitness-tests-villarreal.jpg

Cazorla akiwa anafanya mazoezi kwenye gym ya timu yake mpya ya Villarreal.

Cazorla ni umri umemtupa na maumivu na maumivu ya kiwiko cha mguu yamekuwa yanarudi kila mara.

Amefanyiwa upasuaji wa hiyo tendon (au kwa Kiswahili Kano) mara kumi.

Arsenal wakamwambia wabadilishe mkataba uwe wa pay as you play (Jack Wishere amefanyiwa hivyo na West Ham).

Cazorla ni umri na jeraha lisilopona ndivyo vinayomwangusha.
4887ED5C00000578-0-image-a-58_1516786576561.jpg

Angalia jeraha lake kwenye kano baada ya upasuaji ambao umefanywa mara kumi.

Villarreal wamemwambia watamvumilia ingawa nafasi kwenye first 11 au hata bench itakuwa ni ngumu.

Vyanzo vya picha;
Picha ni za majarida ya Macca/Offiside/Getty.
 
15A61C3C00000514-0-image-a-50_1516785766385.jpg


santi-cazorla-fitness-tests-villarreal.jpg

Cazorla akiwa anafanya mazoezi kwenye gym ya timu yake mpya ya Villarreal.

Cazorla ni umri umemtupa na maumivu na maumivu ya kiwiko cha mguu yamekuwa yanarudi kila mara.

Amefanyiwa upasuaji wa hiyo tendon (au kwa Kiswahili Kano) mara kumi.

Arsenal wakamwambia wabadilishe mkataba uwe wa pay as you play (Jack Wishere amefanyiwa hivyo na West Ham).

Cazorla ni umri na jeraha lisilopona ndivyo vinayomwangusha.
4887ED5C00000578-0-image-a-58_1516786576561.jpg

Angalia jeraha lake kwenye kano baada ya upasuaji ambao umefanywa mara kumi.

Villarreal wamemwambia watamvumilia ingawa nafasi kwenye first 11 au hata bench itakuwa ni ngumu.

Vyanzo vya picha;
Picha ni za majarida ya Macca/Offiside/Getty.
Dhaaaaaaaa aiseeee mwenyez Mungu amsaidie
Tu apone huyu jamaa nampenda maana
Anajituma sana uwanjan
 
Back
Top Bottom