DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
Mtu na kocha wake
Mtu na kocha wake
nashangaa mkuu...Kwanza hao aliowataja wana ucl ngapi?au hata hizo domestic cups daaaaahhhh
Better than Arteta. I will take this for nowKaribu Unai View attachment 783118
Inaelekea niliotea. Jumamosi nilisema hivi(hapo juu). Arteta angepewa (akipewa) kibarua itakuwa ni sawa na kujifunga kamba mguuni halafu ukaning'iniza ghorofani afu motto mchanga anashikiria ncha ya pili.Mikel Arteta is not going to be the manager. Arsenal will shock the football world by picking up somebody who is not being talked about by the media.
Akiongea David ornstein au balague Bas tia tikiIla bado sio official so tusubiri
Ndio CV yake hii|Unai Emmery....
Ni swala la muda tu sasa bodi itamtangaza Unai Emery kama kocha mpya wa Arsenal..
1.Unai amcechukua vikombe 3 vya Europa League mfululizo..huku akiipiga Liverpool ya Jurgen Klopp kwenye fainali,2016.
2.Ni kocha ambaye anahitaji wachezaji wajitoe sana kwa timu..hana utani kwenye hilo-Tukumbuke haikuwa rahisi kuchukua vikombe akiwa na Sevilla timu ambayo ilikuwa na bajeti ndogo mno.
3.Yeye anasemwa kuwa ni kocha zaidi na sii meneja zaidi.Nadhani hiki ndicho kilichoivutia bodi ya Arsenal kumchukua yeye kwa sababu akiwa Sevilla alishafanya kazi kwenye nfumo kama wa Arsenal ambapo sasa-mkuu wa usajili wa wachezaji ni Sven Mislitant-while kule Sevilla alikuwa chini ya Monchi-na alifanikiwa!
4.Msimu wake wa kwanza PSG alishindwa kutwaa ubingwa-baada ya Monaco kuchukua.Baadhi ya wakosoaji wake wanadai huo ni udhaifu.Ila wanasahau kwamba timu ile ya Monaco iliitoa hata Man city ya Guardiola ktk hatua za mtoano UEFA champions League.
5.Anaongea kingereza kidogo tu-lakini alipokuwa Ufaransa ilimchukua muda mfupi sana kuongea kifaransa-hili linaonyesha kwamba ni mtu wa kujifunza lugha ngeni kwa haraka.
6.Ni rafiki mkubwa wa Pep...ni kati ya makocha wachache wanaoalikwa na Pep kwa glass ya mvinyo baada ya mechi...
NdioNdio CV yake hii
CV yake unajaza karatasi 5. Hayo ni maelezo tu ya jinsi alivyo.Ndio CV yake hii