Arsenal (The Gunners) | Special Thread

|Unai Emmery....
Ni swala la muda tu sasa bodi itamtangaza Unai Emery kama kocha mpya wa Arsenal..
1.Unai amcechukua vikombe 3 vya Europa League mfululizo..huku akiipiga Liverpool ya Jurgen Klopp kwenye fainali,2016.
2.Ni kocha ambaye anahitaji wachezaji wajitoe sana kwa timu..hana utani kwenye hilo-Tukumbuke haikuwa rahisi kuchukua vikombe akiwa na Sevilla timu ambayo ilikuwa na bajeti ndogo mno.
3.Yeye anasemwa kuwa ni kocha zaidi na sii meneja zaidi.Nadhani hiki ndicho kilichoivutia bodi ya Arsenal kumchukua yeye kwa sababu akiwa Sevilla alishafanya kazi kwenye nfumo kama wa Arsenal ambapo sasa-mkuu wa usajili wa wachezaji ni Sven Mislitant-while kule Sevilla alikuwa chini ya Monchi-na alifanikiwa!
4.Msimu wake wa kwanza PSG alishindwa kutwaa ubingwa-baada ya Monaco kuchukua.Baadhi ya wakosoaji wake wanadai huo ni udhaifu.Ila wanasahau kwamba timu ile ya Monaco iliitoa hata Man city ya Guardiola ktk hatua za mtoano UEFA champions League.
5.Anaongea kingereza kidogo tu-lakini alipokuwa Ufaransa ilimchukua muda mfupi sana kuongea kifaransa-hili linaonyesha kwamba ni mtu wa kujifunza lugha ngeni kwa haraka.
6.Ni rafiki mkubwa wa Pep...ni kati ya makocha wachache wanaoalikwa na Pep kwa glass ya mvinyo baada ya mechi...
Mkuu upo vzr sana...
 
Inaelekea niliotea. Jumamosi nilisema hivi(hapo juu). Arteta angepewa (akipewa) kibarua itakuwa ni sawa na kujifunga kamba mguuni halafu ukaning'iniza ghorofani afu motto mchanga anashikiria ncha ya pili.
Ulinena kwa kweli. Mimi kwa chaguo hili, niko roho safi angalau. Bado mdogo na ana experience ya kushinda mataji ya ligi na mtoano.
 
Kweli mkuu , pia amezungumzia mengi kuhusu hiyo interview ilivyoenda, huyu hata ujio wa SANHEIL , AUBA aliusemaga mapema sana,
Huyu Belague huwa hapepesi macho, aliiongea jana asubuhi kuwa Unai yuko kwenye interview.
Kweli mkuu , pia amezungumzia mengi kuhusu hiyo interview ilivyoenda, huyu hata ujio wa SANHEIL , AUBA aliusemaga mapema sana,
Pia david Ornstein huwa hapepes kabisa,
 
Hongereni kwa kupata Kocha mzuri mwenye CV nzuri mpaka kwenye MIALIKO hongereni sana
 
Ivan Gazidis - Chief executive

Francis Cagigao - Head of international recruitment

Raul Sanllehi - Head of football relations

Huss Fahmy - Contract negotiator

Sven Mislintat - Head of recruitment

Darren Burgess - Head of high performance

Unai Emery - Head Coach
[HASHTAG]#NewArsenal[/HASHTAG]
 
ARTETA KACHOMOA DILI, ALIKUWA ANATAKA AWE NA CONTROL KWENYE USAJIRI,

KWA SASA DILI LIMEHAMIA KWA UNAI EMERY, LIKITIKI ATAKULA MIAKA 5

Retweeted David Ornstein (@aIiIadiere):

Arsenal are in serious talks with ex Sevilla and PSG manager Unai Emery. Lack of control over transfers led to Mikel Arteta rejecting the proposal from Arsenal. Ivan Gazidis has been locked in talks today with the Spanish managers reps over a 5 year deal [HASHTAG]#BBC[/HASHTAG] [HASHTAG]#Arsenal[/HASHTAG]


Alhamdullilah hatimae Mungu anaenda kujibu maombi yetu hakika likitimia atakua ametuongezea afya waja wake...


Wakuu Arteta alikwisha Tick Katika Hili Dili lakini Kipengele Kikubwa Kilichomkosesha Hili dili Ni Ni Kudai 'FULL CONTROL KWENYE TRANSFER' ili yeye awe ndiye Final Decision Wa Kuamua Nani amlete na Nani Amuuze.
Lakini Bodi imemkatalia Mamlaka Hayo na Kuamua Kuachana nane.

But Huyu EMERY yeye Kakubali Mkataba Bila Ya Kuwa na Udhibiti Katika Maswala Ya UHAMISHO/USAJILI.

Kwahiyo Kitakachomkuta Hata Kama Mchezaji Ataona Anaendana Na Mfumo Wake na Akamtaka, Still Hatakuwa na Maamuzi Juu Ya Usajili Wa Mchezaji Huyo, Bali Bodi ndiyo itaamua imlete au isimlete.

Na Bodi itakapo amua Kumuuza au Kusajili Mchezaji basi yeye Hatakuwa Na Kauli Ya Kukataa.

Kupengele Cha Kuwa 'Control Transfer' Ni Muhimu Kwa Kila Kocha.
Au Hamuoni Kuwa Ni Tatizo hilo la Emery Kutopewa Power ya Uuzaji na Ununuzi Wa Wachezaji?
 
Wakuu Arteta alikwisha Tick Katika Hili Dili lakini Kipengele Kikubwa Kilichomkosesha Hili dili Ni Ni Kudai 'FULL CONTROL KWENYE TRANSFER' ili yeye awe ndiye Final Decision Wa Kuamua Nani amlete na Nani Amuuze.
Lakini Bodi imemkatalia Mamlaka Hayo na Kuamua Kuachana nane.

But Huyu EMERY yeye Kakubali Mkataba Bila Ya Kuwa na Udhibiti Katika Maswala Ya UHAMISHO/USAJILI.

Kwahiyo Kitakachomkuta Hata Kama Mchezaji Ataona Anaendana Na Mfumo Wake na Akamtaka, Still Hatakuwa na Maamuzi Juu Ya Usajili Wa Mchezaji Huyo, Bali Bodi ndiyo itaamua imlete au isimlete.

Na Bodi itakapo amua Kumuuza au Kusajili Mchezaji basi yeye Hatakuwa Na Kauli Ya Kukataa.

Kupengele Cha Kuwa 'Control Transfer' Ni Muhimu Kwa Kila Kocha.
Au Hamuoni Kuwa Ni Tatizo hilo la Emery Kutopewa Power ya Uuzaji na Ununuzi Wa Wachezaji?
Nikweli usemacho mkuu King Ngwaba, ila kwa sasa Arsenal imramua kuachana na huo utaratibu wa kumuachia kocha full control, kama ilivyokuwa kwa wenger, Alikuwa yeye ndio anawauza na ananunua na kuwakumbatia wachezaji Magarasa na wanaotakiwa kutolewa kwa mkopo, Bodi ya sasa haitaki kurudi Huko tena,

Hizi policy mbili zote zina hasara na faida, lakin kwa arsenal sidhan kama Watakuwa wanauza ovyo kila key player, Maana kwasasa Bodi ina watu wa mpira, Na huu utaratibu Aliou suggest ni CE wa arsenal IVAN GAZID, akiutoa hasa Baryen maana yeye ni Mshabiki wa baryen Munich,

Unai Emry ni kocha anayefanya kazi kwenye mazingira ya AINA ZOTE MBILI YA HIZI POLICY , akiwa Sevilla alikuwa hana full control ya Transfer pia, majukumu yote ya Usajiri yalikuwa CHINI ya Monchi, na Alifanya vizuri.

The same Akiwa psg,

Hii policy Sasa imekuwa kama ya kisasa, mapungufu yake Iwakute Watu wasio wa Mpira,

Hii policy hata Barcelona, baryen, chelsea wanaitumia,

Kocha akiharibu pia anakuwa responsible kwa Bodi,

MAPUNGUFU YAKE NI KAMA HAYO TULIYOYAONA KWA CHELSEA, conte watu aliowahitaji hakupewa, na key player kama Matic akauzwa bila yy kujulishwa,
 
Nikweli usemacho mkuu King Ngwaba, ila kwa sasa Arsenal imramua kuachana na huo utaratibu wa kumuachia kocha full control, kama ilivyokuwa kwa wenger, Alikuwa yeye ndio anawauza na ananunua na kuwakumbatia wachezaji Magarasa na wanaotakiwa kutolewa kwa mkopo, Bodi ya sasa haitaki kurudi Huko tena,

Hizi policy mbili zote zina hasara na faida, lakin kwa arsenal sidhan kama Watakuwa wanauza ovyo kila key player, Maana kwasasa Bodi ina watu wa mpira, Na huu utaratibu Aliou suggest ni CE wa arsenal IVAN GAZID, akiutoa hasa Baryen maana yeye ni Mshabiki wa baryen Munich,

Unai Emry ni kocha anayefanya kazi kwenye mazingira ya AINA ZOTE MBILI YA HIZI POLICY , akiwa Sevilla alikuwa hana full control ya Transfer pia, majukumu yote ya Usajiri yalikuwa CHINI ya Monchi, na Alifanya vizuri.

The same Akiwa psg,

Hii policy Sasa imekuwa kama ya kisasa, mapungufu yake Iwakute Watu wasio wa Mpira,

Hii policy hata Barcelona, baryen, chelsea wanaitumia,

Kocha akiharibu pia anakuwa responsible kwa Bodi,

MAPUNGUFU YAKE NI KAMA HAYO TULIYOYAONA KWA CHELSEA, conte watu aliowahitaji hakupewa, na key player kama Matic akauzwa bila yy kujulishwa,
Umesomeka.....huu mfumo hata sisi SIMBA SC tunautumia na ilikuwa bado kidogo tuweke rekodi ya unbeaten kwa mfumo huu huu,
 
Unai Emery is expected to sign a two-year deal with an option for one additional season after traveling to London on Monday to discuss terms with Arsenal, having previously met with West Ham representatives. [Goal]
IMG_20180522_184703_471.jpg
 
Emery will bring his own technical staff, including a new assistant manager, physiotherapist & video production specialist with him to the club. [Goal]
 

John Cross na Ian Wright hawa ni kati ya watu ambao walikua na matumaini makubwa na Arteta ukiangalia articles za Cross zilikua zinajaribu kuaminisha watu kua Arteta atakua na mafanikio makubwa kwenye career yake mpaka sasa anaamini maamuzi ya kumtosa Arteta ni kwa sababu bodi imeogopa kelele za mashabiki tu ila Arteta alikua sahihi kuliko Unai na uyo Ian kuna interview ameonyesha kukerwa na kuja kwa Unai ngoja tuone itakuaje.
 
JINSI UNAI EMERY ALIVYOFAULU INTERVIEW ARSENAL

Akiwa mbele ya hawa mabosi wa Arsenal Ambao ni....

Ivan Gazidis - Chief executive

Francis Cagigao - Head of international recruitment

Raul Sanllehi - Head of football relations

Huss Fahmy - Contract negotiator

Sven Mislintat - Head of recruitment

Darren Burgess - Head of high performance

Unai Emery Aliulizwa ataisaidiaje Arsenal ifanye vizuri, Alisema Ataijenga timu kumzunguka RAMSEY NA AUBAMIAYANG,

Pia akasema atajitahidi apandishe viwango vya wachezaji, Kilichowashtua Mabosi, Unai Emry anawajua wachezaji wa Arsenal wote na mapungufu yao, Kaahidi kuwasaidia Ku improve viwango vyao,

Kuhusu Usajiri, atakuwa hana Maamuzi ya mwisho, bali akihitaji wachezaji Atajadiliana na Hao mabosi, kama wanafaa kuletwa au lah.

Unai emry Kwa asilimia kubwa Akawa amefaulu Interview, Huyu sio mara ya kwanza Kufanya kazi kwa mfumo huu Alishafanya hivo akiwa Sevilla ambapo Alikuwa Responsible kwa Bw. Monchi,

ALICHOFELI ARTETA KWENYE INTERVIEW

Arteta alihitaji awe na Say au Maamuz ya mwisho kwenye Usajiri, Tayari mabosi wameshaweka Muundo mpya, ambao Kila kocha atakayekuja Arsenal lazima aufate, klabu imeamua kuondokana Na mfumo wa kizamani ambao Alikuwa anautumia Arsene Wenger, kumbuka Wenger hakuwa hata na SPORTING DIRECTOR, na wenger alikuwa na power kubwa, Na alikuwa na Maamuzi makubwa kwenye USAJIRI. Kwasasa klabu haitaki kurudi huko,

Kocha akihitaji kuuza Wachezaji au kununua ITABIDI hilo jopo la mabosi likae meza moja Na UNAI EMERY kisha wanajadili kwa Pamoja, na Kocha akishindwa KUFIKIA MALENGO YA KLABU ataitwa mbele ya Hilo jopo Atawajibishwa.

HUU NDIO MFUMO MPYA WA ARSENAL, SIO KWELI KWA ARSENAL IMETENGA BAJETI NDOGO NDIO MAANA ARTETA KAKATAA, SI KWELI
IMG-20180522-WA0020.jpg
 
John Cross na Ian Wright hawa ni kati ya watu ambao walikua na matumaini makubwa na Arteta ukiangalia articles za Cross zilikua zinajaribu kuaminisha watu kua Arteta atakua na mafanikio makubwa kwenye career yake mpaka sasa anaamini maamuzi ya kumtosa Arteta ni kwa sababu bodi imeogopa kelele za mashabiki tu ila Arteta alikua sahihi kuliko Unai na uyo Ian kuna interview ameonyesha kukerwa na kuja kwa Unai ngoja tuone itakuaje.
Walishatengeneza genge lao., Arteta awape ajira kwenye bench la ufund
 
Back
Top Bottom