ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,491
- 2,477
1-0 halftime sasaGame vp huko?
1-0 halftime sasaGame vp huko?
Game ilikua wazi sema wameiapproach kijinga sana, bellerin & monreal sijaelewa kabisa kwenye final ballsFT
ATM 1-0 Arsenal
Makosa ya game ya kwanza yametugharimu leo.
Wachezaji wauzwe kama wote yani waje wenginentarudii hapa...arsenal hikipata kocha mpya
Kocha ajaye kwa kweli ana kazi ya ziada kudili na hawa average players wa wenger.Wachezaji wauzwe kama wote yani waje wengine
Uzuri atakayekuja hatakuwa under pressure, Arsenal has arleady hit the bottom of the sea, the vessel can't sink anymore!!Once upo a time in this thread niliwahi Kusema Kuwa Kuondoka Kwa Arsene Wenger is not something to be Happy Kwani no one knows Nani atakuja after him!
Sasa imedhihiri Kwani Katika Mchakato unaoendelea Wa Kutafuta Makocha Tayari Utata umsshaanza Kujitokeza Kwani Hadi Jana Wameamua Kuendelea Kumuengua Mtu Mwengine Katika List ya Target Zao.
Si mwengine Bali Ni Luis Enrique ambaye Board ya Arsenal inasema Wage demand Yake Ni Kubwa £25m/year kwahiyo they can't afford to pay him such amount.
Kwasasahivi Watu Ambao Wanaongoza Katika Mbio Za Kuinoa Arsenal Ni VIERA na ARTETA kutokana Na Board ya Arsenal Kuplan Kurecruit Cheap Coach ili Kubalance revenue zake.
This is TRANSITIONAL PERIOD
No trophies, even the carabao cup (karagabao cup).No UCL No UEROPA.
Poleni.
Tumejaza average players ila tunafosi kuwaita world class!yani mechi hilikuwa wazii kabisa kwa arsenal...wooiii
Kama ni kocha wa kawaida, basi achukuliwe hata huyo namba mbilibwa Klopp, Buvac. Kama Klopp amefanya nae kazi miaka 17 na anamuita the brains, nina uhakika ana kitu kama cha Jurgen Klopp. Klopp ni kocha ninaye mtamani sana falsafa yake.Ile timu haihitaji kocha wa bei mbaya, yahitaji kocha wa kuwaambia, siyo kuwafundisha, art of defending and being offensive at the same time, yaonekana kuna wachezaji waliopo AW hakusumbuka kabisa kuwaambia ku defend ni kazi ya timu na siyo defenders peke yao..
Achana na Enrique, hata akichukuwa Vierra/Arteta, Bould, Tony Adams, poa tu...