Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Europa itakuwq hivyo, ila tatizo Madrid wanachukua watakapokutana na Roma.


Which Roma ambayo itacheza Fainali?
Kumbe Bado Munaendelea Kupiga Ramli Kuwa Liverpool Ameshatolewa Na Roma?

Lakini Ndiyo Mpira ulivyo! Washabiki Wa Barca Walipiga Ramli Kuwa Real itatolewa Na Bayern! Na Washabiki Wa Real Wanapiga Ramli Kuwa Liverpool itatolewa na Roma.

Lakini Tatizo La Washabiki Wa Real Kuikomalia Roma isonge mbele Ni Kuwa Real inaogopa Kukutana na Liverpool.
 
AW kwenye press conference...yes we still got chance, MATHEMATICALLY! *****..hakuna ku refresh/subs wala nini, hana plan B, heri babu aende tu..
Babu hana shida, shida ni wachezaji hawakuwa na plan B, wengi wao ni mizigo pale
 
Sioni ushindi wa arsenal kule spain lbd iwe ngekewa aseeee
Anashinda vizuri tu kwa sababu zifuatazo.
Atm hawajagusa mpira kabisa wamecheza wote nyuma kipindi chote wakitafuta sare.
Pamoja na hali hiyo bado wamefungwa golini.
Ukienda kwao wao watafunguka hali itakayopelekea kufungana magoli mengi ambayo sare yoyote kubwa ni ushindi kwa arsenal.
Ujue hata goli la kusawazisha la Atm griziman alishika mpira uliopigwa na beki kurudishwa nyuma lakini refa akauacha.Mpira ni mchezo wa makosa but still Atm ni timu mbovu kulinganisha na miaka mingine.Kupaki hakutasaidia lolote next leg tunabadili mbinu za kushambulia.
Watu wanapigwa kwao lakn wanasawazisha ugenini na kusonga mbele .Still nina matumaini na timu yangu ya arsenal.Vikombe vyote safari hii vinatua uingereza.
 
Wamenisusia jukwaa lao
Wamejiweka katika nafasi ngumu ya kusonga mbele ingawa kila kitu kinaweza kana katika football ila mazingira ni finyu .Watapambana na watu kumi na mmoja kisha pana mwingine mchezaji atakuwa jukwaani kwa hakika itabidi wafanye cha ziada kuweza kupenya. Jimwage mwage wamekuachia mzigo wote.
 
For those talking on the Next Arsenal manager, it will not be Allegri. Front runner and closest is Luis Enrique who has had multiple conversations with the board at the club. He will come in and be announced on the final game of the season with a number 2.
 
Ndugu zangu nasikia mnapumzisha wachezaji muhimu. Jitahidini 8-2 isijirudie. All the best.
 
For those talking on the Next Arsenal manager, it will not be Allegri. Front runner and closest is Luis Enrique who has had multiple conversations with the board at the club. He will come in and be announced on the final game of the season with a number 2.
Im very sorry AW is leaving Arsenal coz im gonna miss all those wonderful moments he gave us(man utd fans)
 
Back
Top Bottom