Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

FT
Arsenal 4-1 WHU
Dakiki 20 za mwisho tumezitumia vizuri kila nafasi iliyopatikana imeleta goli ni wakati sasa wa Lacz + Auba wawe na combo naona mara zote wakicheza pamoja kuna kitu kinafanyika angalau.

IMG_5454.JPG
 
Nimehamia soton vs chelsea dk 10 narudi 3-1

unawachungulia wapinzani wako wa Wembley,kwa heshima ya final natamani mkutane na Chelsea,juzi wale kuku wa Spurs walipoanza kututusi na shombo kibao ikabidi dua zangu zihamie kwenu na wangeshinda London pasingekalika.
 
unawachungulia wapinzani wako wa Wembley,kwa heshima ya final natamani mkutane na Chelsea,juzi wale kuku wa Spurs walipoanza kututusi na shombo kibao ikabidi dua zangu zihamie kwenu na wangeshinda London pasingekalika.
Sasa Chelsea wakishinda FA cup London kutakalika? S'ton kushinda leo ni miujiza 42mins now wanachezewa nusu uwanja
 
unawachungulia wapinzani wako wa Wembley,kwa heshima ya final natamani mkutane na Chelsea,juzi wale kuku wa Spurs walipoanza kututusi na shombo kibao ikabidi dua zangu zihamie kwenu na wangeshinda London pasingekalika.
Aise jana nilicheka kishenzi, tena nikala kama 40,000/- hivi, ilikuwa siku nzuri mno, mno..
 
Back
Top Bottom